Siku zote Mtu aliyejamba mbele za watu huwa anajishtukia! Yan maneno yapo clear kabisa, angeuliza tuongee kuhusu nini akijibiwa kuhusu kuacha madawa ndipo angeanza kujitukanisha, kwan ni nan asiyejua kuwa Tid kishadata? Halafu mashabiki ndio wanaochangia kuharibika kwa wasanii! Subiri yalimkuta ya Ngwea mashabiki zake waendelee kumsifia tusiowane hapa wakitumia "nge" "nga'' ''ngali'' na ''ngeli''[/Quote
mi nkimuona nachekahadi basss au anafanyaga kusudi.....?
Kama akili zako ziko sawa utagundua hawa hawajaanza kwenye ishu ya IG angalia Mnyama anavyosema "help ur boyfriend" na kwa nini all over sudden aseme "f**k off" ujue kafatwa muda mrefu angalia sentensi za TID utagundua kachoka kufuatilia na Ray C awezi kumjibu maneno yote kwa kusifiwa na kuambiwa "let's talk" kuweni werevu basi uyo binti toka apone anamvamia kila mtu arudishe jina hapo kwa Warioba atacheza makofi.
Over najua umenielewa kama bado utanielewa tu.
Kosa la Rayc ni lipi??
Arosto ya unga unaweza kuwa Choko hivi hivi,,mambo gani mtu unanyatia hadi nguo zako mwenyewe ulizoanika!
Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
kuleta issue za privacy,, mahala pasi sahihi
na mimi nahitaji majibu ya hili swali kweli.
Sasa we Moron mbona me sijaona kitu hapo yani unasifiaaaa mpaka kero.Ray c alikua anatafuta sifaa kaipataa aisee binam ukimuona TID mnunulie hata peps kanifurahisha asubuhi hiii mchiz kwa Majibu kiboko Nampa miaa
Safi sanaa TID napenda majibu yake kinoumaaa umemuwezaaaaaaa akuwaaacheee