T.I.D akinukisha kwa RAY C @instagram

T.I.D akinukisha kwa RAY C @instagram

Ila ray c kapata fedheha kama sio aibu ya mwaka, mwenyew alikuwa anamsifia mnyama mwenyewe na collabo kamwomba , dada watu kaambulia vichambo vya haja, hata mimi sikubaliana na tid apa ajafanya poa

kwa wenye akili timamu na kwa wastaarabu aliyeaibika ni TID. katika hali ya kawaida hatutarajii jibu bovu kwa ujumbe wa upendo na wa amani... ukijibu vinginevyo lazima utakuwa kichaa tu.
 
Kati ya watu wanantakiwa kuwaface kwa uangalifu iwe kwa heri ama kwa shari ni Mnyama a.k.a warioba.

Jamaa akili zake zipo mbali sana,kukuzingua ni dakika 0
 
kwa wenye akili timamu na kwa wastaarabu aliyeaibika ni TID. katika hali ya kawaida hatutarajii jibu bovu kwa ujumbe wa upendo na wa amani... ukijibu vinginevyo lazima utakuwa kichaa tu.

Yaani mimi hayo matusi aliyotukana sikuweza kusoma mara mbili maana nasikia aibu mwenyewe, sijui alimkosea nini dada wa watu kumdhalilisha hivyo
 
ray c kakosea. Anastahili alichopata.

Kakosea nini ,wewe una akili ka t.i.d kama na wewe unalamba bwimbwi poa, unajua alikua anamwambia nini mana amemwambia tid ur good musician in africa, so kama alikuwa anataka collabo na yeye unaropoka tu lol!
 
Yaani mimi hayo matusi aliyotukana sikuweza kusoma mara mbili maana nasikia aibu mwenyewe, sijui alimkosea nini dada wa watu kumdhalilisha hivyo

hakuna kitu kibaya kama kufulia kiuchumi...kila mtu unamuona mbaya, hata ukisalimiwa unahisi unasanifiwa. kufulia ndio tatizo kubwa la tid..wewe hadi kufikia kwenda uk kupiga shoo ya bure ili aonekane na yeye bado yumo mchezo
 
kwa hiyo Ray C hawezi kumtafuta kwa lingine zaidi ya masuala ya madawa??

..pole sana kwake, unless kama wana ugomvi ama aliwahi kumsemesha kuhusu habari hizo.
 
Ivi mateja walivyozagaa mitaani wako hopeless kwa 100% kwa nini asiwafuate akawapeleka kwenye foundation yake?kuna kitu anamtafuta mnyama na atakipata hasa mitama ya shingo aache ku-create stunts za kibwege huyu Ray C na mbona yeye hakutafutwa IG ili apewe msaada simply hakutumia njia sahihi kuwasiliana na TID.
 
Kumbe kumpongeza mtu napo inabidi umfuate private?khee!basi mie nmepitwa na wakati!
 
By the way nimegundua kuna watu wanajua kaugomvi behind the scene thats why wanampongeza tid!kulipuka bila sababu za maana sio dalili nzuri kwa binadam ambaye upstairs yuko vizuri
 
Back
Top Bottom