T.I.D akinukisha kwa RAY C @instagram

T.I.D akinukisha kwa RAY C @instagram

Daa kweli,TID wazeze,cyo wasasa .Pole Ray C.ulifanya kwa wema ila unapata mitusi.
 
attachment.php
 
mi sijaelewa au ina maana hiyo sentesi ya Ray C ndio imafanya
huyo mnyama kuporomosha matusi yote hayo...........
 
mi sijaelewa au ina maana hiyo sentesi ya Ray C ndio imafanya
huyo mnyama kuporomosha matusi yote hayo...........

Ni hivi mpenzi,Tid aka mzee Warioba alikuwa anatambulisha wimbo wake mpya Asha refix...Ndio akaibuka Rayc na iyo comment yake,nadhani mzee Warioba alihisi Rayc anataka kumchanganyia story za sober house na methadone cjui uko ndio akamwaga desperation yake hapo.
 
ray c kakosea. Anastahili alichopata.
 
Ray C alikuwa ana nia nzuri lakini approach aliyotumia sio nzuri kwanini asingem-call? Ndio maana Mzee Kigogo warioba ka-react.
 
Chezea jela wewe, jela ukienda ukiwa mrembo lazima urudi unaongea taarabu. Pole Rayc
 
alosto ukiunganisha na swaumu halaf mtu anamzingua mnyama kwa insta unategemea nini...angekuwa naye karibu angemtupia chupa..angemtafuta ki faragha faragha
 
Ni hivi mpenzi,Tid aka mzee Warioba alikuwa anatambulisha wimbo wake mpya Asha refix...Ndio akaibuka Rayc na iyo comment yake,nadhani mzee Warioba alihisi Rayc anataka kumchanganyia story za sober house na methadone cjui uko ndio akamwaga desperation yake hapo.

hahaaa naona mnyama anatukana tu can u fu.ck off duh
asante kwa muelewesho
 
Ni wazi pasi shaka T.I.D ni mgonjwa kabisa hasa kichwa.
Tangu nimeanza kufatilia interview zake na maandishi yake kwenye media ni wazi hana miaka minne anakuwa kichaa.

Siku nilipoona interview yake na Sporah ndipo nilipo amini anaumwa kabisa na ana hitaji msaada kabla mambo hayaja haribika kabisa. Mtu akiangalia maneno aliyo yaandika Rayc na majibu ya T.I.D atagundua huyu jamaa ni mgonjwa kabisa na hana muda mrefu mtaani. Pengine Rayc hakutumia njia nzuri kuomba alicho taka lakini hakustahili haya matusi kwa mtu tunaye fikiri anaweza akawa na akili timamu.

Wasanii wetu wengi ni wagonjwa na magonjwa yao yanachagizwa na mashabiki wao, yani ukijiuliza kinacho wafanya washabikie hayo matusi yanayo tolewa kwa Rayc wanaweza wakakosa jibu na wakasema kuwa ni kwasababu hawampendi Rayc.

T.I.D na Jumanature ni wasanii ambao wana hitaji msaada wa haraka kabla hawajawa vichaa na mkaanza kusikitika na hawa mashabiki kama wange mkemea T.I.D kwa hichi kitendo nina uhakika ingemsaidia kupona.

T.I.D ni mgonjwa anaye hitaji msaada.
 
ni wazi pasi shaka t.i.d ni mgonjwa kabisa hasa kichwa.
Tangu nimeanza kufatilia interview zake na maandishi yake kwenye media ni wazi hana miaka minne anakuwa kichaa.

Siku nilipoona interview yake na sporah ndipo nilipo amini anaumwa kabisa na ana hitaji msaada kabla mambo hayaja haribika kabisa. Mtu akiangalia maneno aliyo yaandika rayc na majibu ya t.i.d atagundua huyu jamaa ni mgonjwa kabisa na hana muda mrefu mtaani. Pengine rayc hakutumia njia nzuri kuomba alicho taka lakini hakustahili haya matusi kwa mtu tunaye fikiri anaweza akawa na akili timamu.

Wasanii wetu wengi ni wagonjwa na magonjwa yao yanachagizwa na mashabiki wao, yani ukijiuliza kinacho wafanya washabikie hayo matusi yanayo tolewa kwa rayc wanaweza wakakosa jibu na wakasema kuwa ni kwasababu hawampendi rayc.

T.i.d na jumanature ni wasanii ambao wana hitaji msaada wa haraka kabla hawajawa vichaa na mkaanza kusikitika na hawa mashabiki kama wange mkemea t.i.d kwa hichi kitendo nina uhakika ingemsaidia kupona.

T.i.d ni mgonjwa anaye hitaji msaada.

hatukatai kwamba tid ni mgonjwa, ila kwa hili ray c katokota, angeweza mtafuta privately waongee faragha. Sidhani kama yange mkuta haya.

Tid anapost ishu kwa fan wake, afu mrugaruga anaingilia topic.
Hata mimi ningempa makavu.

Ray c aache tafuta sifa za kijinga.
.......
.,period.
 
hatukatai kwamba tid ni mgonjwa, ila kwa hili ray c katokota, angeweza mtafuta privately waongee faragha. Sidhani kama yange mkuta haya.

Tid anapost ishu kwa fan wake, afu mrugaruga anaingilia topic.
Hata mimi ningempa makavu.

Ray c aache tafuta sifa za kijinga.
.......
.,period.

Ndio keshapewaa makavuu hana jipyaaa
 
usikate tamaa ray c,juhudi zako za kumuokoa TID zitaonekana pale atakapokufa kwa drugs.ndivyo mitanzania tulivyo,tunapuuzia na kushabikia tid kumtusi ray c huku tukimuangalia tid anavyokufa taratiibu mbele ya macho yetu
 
Back
Top Bottom