T.I.D akinukisha kwa RAY C @instagram

T.I.D akinukisha kwa RAY C @instagram

hv ray angemtafta kwa siri tid angemtukana?kwa nini amtafte kwny public ujue msimlaumu tid ila sometimes inakera..haya sporah nae maswali aliuokuwa anamuuliza yale..?nyi mlitaka amjibu vp...?dawa ya mshenzi unakua mshenzi zaidi yake baaaas....."unavuta bangi"ndo ailmuuliza hvyo!safi tid kama kalambwandaaaa...
 
Mmh mwenzangu ray c kamsifia mwenyewe apate collabo matokeo yake kachambwa mmh aibu hii sijui ataipeleka wapi

rayc hakutumia hekima kwa kweli hata mi ningemzodoa tu.....anatafta umaaarufu kupitia mnyama.....!mnalaumu bure tid ila ujue hawa masupastaa wa bongo wanapenda kusafiria nyota za wengine.fkria we ndo tid halaf ndo unakula ngada afu mtu anakuface mbele za watu utajiskiaje?
 
rayc hakutumia hekima kwa kweli hata mi ningemzodoa tu.....anatafta umaaarufu kupitia mnyama.....!mnalaumu bure tid ila ujue hawa masupastaa wa bongo wanapenda kusafiria nyota za wengine.fkria we ndo tid halaf ndo unakula ngada afu mtu anakuface mbele za watu utajiskiaje?

Shangaaa na weweee ashashindwa kuimba kaona aanzee kuhoji watu mbele za watu akomeeee
 
Ndio keshapewaa makavuu hana jipyaaa

Ray c katafta mwenyewe sifa ili aonekane na watu kwan ye alipopelekwa kule aliombwa kwenye mitandao... na kama anania kweli mbona lord eyes ajamwambia vile... angeomba namba yake tu ampigie... kichaa umpe rungu utegemee nini kama sio kipigo.
 
Shangaaa na weweee ashashindwa kuimba kaona aanzee kuhoji watu mbele za watu akomeeee

Mtu anaongelea kitu hiki we unacomment kingine mbaya zaidi kwenye post yake.. hivi ndo kusema alimtafuta akamkosa mpaka amvurugie ishu yake onasasa keshatoa attention ya post yake insta watu wameconcentrate kwenye jibu lake... kwa hili dada kajitakia mwenyewe.
 
hv ray angemtafta kwa siri tid angemtukana?kwa nini amtafte kwny public ujue msimlaumu tid ila sometimes inakera..haya sporah nae maswali aliuokuwa anamuuliza yale..?nyi mlitaka amjibu vp...?dawa ya mshenzi unakua mshenzi zaidi yake baaaas....."unavuta bangi"ndo ailmuuliza hvyo!safi tid kama kalambwandaaaa...

nimekuelewa sana mnyamwezi...unajua!bab kubwa
 
Ni hivi mpenzi,Tid aka mzee Warioba alikuwa anatambulisha wimbo wake mpya Asha refix...Ndio akaibuka Rayc na iyo comment yake,nadhani mzee Warioba alihisi Rayc anataka kumchanganyia story za sober house na methadone cjui uko ndio akamwaga desperation yake hapo.

Kumbe ni hisia tuu mi nilidhani aliweka story hizo.
T.I.D ana matatizo kabisa na hiyo sentensi mbona hiko clear kabisa?
 
Shangaaa na weweee ashashindwa kuimba kaona aanzee kuhoji watu mbele za watu akomeeee

ye angemwita pembeni wangemalizana tu kuliko kumdhalilisha hata km tunajua tid mteja ila si kiivyo mi pia sijapenda amekosea ray c
 
ye angemwita pembeni wangemalizana tu kuliko kumdhalilisha hata km tunajua tid mteja ila si kiivyo mi pia sijapenda amekosea ray c

hivi ni kauli gani imemdhalilisha hapo? hiko wapi? come lets talk?,your best musician in east africa? huu ndi udhalilishaji? umejuaje alitaka waongee kuhusu madawa?
 
T.I.D. si naye apelekwe USA kama RAYC , hivi RAC haoleki, Je atakaye muoa awezi kuzaa mototo tahira?
 
T.I.D. si naye apelekwe USA kama RAYC , hivi RAC haoleki, Je atakaye muoa awezi kuzaa mototo tahira?

hii ni hoja ya mjadala hupi?hivi unajua kuwa hata Mama mwenye virusi vya ukimwi anaweza kuzaa mtoto asiye na virus vya ukimwi?
 
hatukatai kwamba tid ni mgonjwa, ila kwa hili ray c katokota, angeweza mtafuta privately waongee faragha. Sidhani kama yange mkuta haya.

Tid anapost ishu kwa fan wake, afu mrugaruga anaingilia topic.
Hata mimi ningempa makavu.

Ray c aache tafuta sifa za kijinga.
.......
.,period.

Jaman mwenzenu alikuwa anaomba collabo na mnyama
 
Mpaka hapo mwehu keshajulikana,wenye hekima husifia majibu ya busara,mh bt kunakitu nmenotice hapo maana sijaona sababu ya kusifiwa yeye atukane,makubwa haswaaaa!

hata mie nimeshangaa... msanii kujibu mbovu tena kwa muktadha wa comment ya amani me naona ni umbulula tu. na sijui why amesifiwa...ngoja nimezee mengine nisiandike hapa. Duniani kuna watu na viatu yani wao hata wafanyweje hawana jema. nikuwasamehe tu. Ray C next time angalia wa kuwasifia wengine ni mizigo ya ma...vi hawabebeki kwa mfuko wala mikononi.
 
ni kawaida wasanii au hata watu kuchomekeana kwenye social media kwamba "tutafutane". hakuna mahali Ray C ameongelea maswala ya rehab hapo, kiustaarabu TID angekaa kimya tu au kujibu sawa hata kama alipata utata kwenye mwito huo. Ustaarabu wa mtu unapimwa kwa mambo mengi sana... kwa umri wa TID hapaswi kuishi na kwa style anayoiendekeza (style yake ni ya ki-teen zaidi. Umri unapaswa kuendana na mienendo yetu la sivyo watu watatuona hamnazo au mataahira.
 
hata mie nimeshangaa... msanii kujibu mbovu tena kwa muktadha wa comment ya amani me naona ni umbulula tu. na sijui why amesifiwa...ngoja nimezee mengine nisiandike hapa. Duniani kuna watu na viatu yani wao hata wafanyweje hawana jema. nikuwasamehe tu. Ray C next time angalia wa kuwasifia wengine ni mizigo ya ma...vi hawabebeki kwa mfuko wala mikononi.

Ila ray c kapata fedheha kama sio aibu ya mwaka, mwenyew alikuwa anamsifia mnyama mwenyewe na collabo kamwomba , dada watu kaambulia vichambo vya haja, hata mimi sikubaliana na tid apa ajafanya poa
 
Back
Top Bottom