Taa hii chumbani huwa na kazi gani?

Taa hii chumbani huwa na kazi gani?

Nmeona anko DeepPond ameshajibu
Huko kwamba inasaidia kuficha mashuka machafu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Mi nilijua weusi wa karibu na buyu la asali ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Mana kuna watu hawataki ku do kwenye mwanga mkali ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ
 
Mi nilijua weusi wa karibu na buyu la asali ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Mana kuna watu hawataki ku do kwenye mwanga mkali ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ
Hivi Kuna watu bado hawajui kuscrub buyu la asali
 
Mtu unapiga hesabu ina zle raha nazopata Kuna mtu kala? afu huku nje tunapiga kama tunaua "tunakamia"
Hilo neno " tunakamia"... Ndiyo linazidi kunipa sababu ya kuendelea kumficha Bibi yenu...

Maana sisi tuliozeeka wa kimoja chali mkija kuwakamata wake zetu si mtafanya watusahau kabisa Vijana wenzao wa zamani?

Ndiyo kwanza umefanya nirudie kuusikiliza wimbo wa Namficha wa Harmonize mara ya 10 sasa ๐Ÿ˜œ
 
Hilo neno " tunakamia"... Ndiyo linazidi kunipa sababu ya kuendelea kumficha Bibi yenu...

Maana sisi tuliozeeka wa kimoja chali mkija kuwakamata wake zetu si mtafanya watusahau kabisa Vijana wenzao wa zamani?

Ndiyo kwanza umefanya nirudie kuusikiliza wimbo wa Namficha wa Harmonize mara ya 10 sasa ๐Ÿ˜œ
Yaan kila nkisoma maandishi yako nahis we ni kijana unaejivika uzeee๐Ÿคฃ
 
Yaan kila nkisoma maandishi yako nahis we ni kijana unaejivika uzeee๐Ÿคฃ
Wazee pia huvutiwa na miziki mizuri

Baada ya kusikiliza wimbo wa Georgina ama rangi ya Chungwa lakini hata hizo nyimbo zenu Vijana huzisikiliza pia

Endelea kuwa na Imani na Wazee ๐Ÿค—
 
Back
Top Bottom