Mwanga hafifu unataka kuficha nini π€£Mwanga flan hafifu
Mi nilijua weusi wa karibu na buyu la asali π€£π€£π€£Nmeona anko DeepPond ameshajibu
Huko kwamba inasaidia kuficha mashuka machafu ππππ
Hivi Kuna watu bado hawajui kuscrub buyu la asaliMi nilijua weusi wa karibu na buyu la asali π€£π€£π€£
Mana kuna watu hawataki ku do kwenye mwanga mkali πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
Wajulie wapi?! Ndo hao wanaotumia hizo taa, wapo km kina Amber ruty π€£π€£π€£Hivi Kuna watu bado hawajui kuscrub buyu la asali
Lazima watumie taa za rangi π€£π€£π€£Wajulie wapi?! Ndo hao wanaotumia hizo taa, wapo km kina Amber ruty π€£π€£π€£
[emoji1]Taa ya blue inayasitiri Sana mashuka yalofubaa[emoji4]
Endelea kua serious uone kama utapata Helaπ€£Yani ww sijui siku hizi umekuwaje? πππ
Umechachuka mnoo!! Uchizi wako wa kkoo umeuamishia humu
Ukiambiwa hafifu we unawaza ule wa kibatari, mi namaanisha dim light mwanga flan wa blue au rangi nyingine.....Mwanga hafifu unataka kuficha nini π€£
Blue hapana sio lovelyUkiambiwa hafifu we unawaza ule wa kibatari, mi namaanisha dim light mwanga flan wa blue au rangi nyingine.....
Bora iwe hivyo Mkuu, hata kama Babu yenu nimezeeka lakini kuchapiwa hakuzoeleki ujue πBibi haguswi kbs tutamheshimu mpaka dkk ya 90
Mtu unapiga hesabu ina zle raha nazopata Kuna mtu kala? afu huku nje tunapiga kama tunaua "tunakamia"Bora iwe hivyo Mkuu, hata kama Babu yenu nimezeeka lakini kuchapiwa hakuzoeleki ujue π
Hilo neno " tunakamia"... Ndiyo linazidi kunipa sababu ya kuendelea kumficha Bibi yenu...Mtu unapiga hesabu ina zle raha nazopata Kuna mtu kala? afu huku nje tunapiga kama tunaua "tunakamia"
Yaan kila nkisoma maandishi yako nahis we ni kijana unaejivika uzeeeπ€£Hilo neno " tunakamia"... Ndiyo linazidi kunipa sababu ya kuendelea kumficha Bibi yenu...
Maana sisi tuliozeeka wa kimoja chali mkija kuwakamata wake zetu si mtafanya watusahau kabisa Vijana wenzao wa zamani?
Ndiyo kwanza umefanya nirudie kuusikiliza wimbo wa Namficha wa Harmonize mara ya 10 sasa π
Wazee pia huvutiwa na miziki mizuriYaan kila nkisoma maandishi yako nahis we ni kijana unaejivika uzeeeπ€£