Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini msi develop wenyewe au bongo wamejaa taboralasa ?Tuwaite wake wawekeze hizi mambo kigamboni sio kuuza chupi kariakoo.
Mfano mdogo wa tulichofanya wenyewe ni Mfugale bridge.Kwanini msi develop wenyewe au bongo wamejaa taboralasa ?
Ndio tukomae hadi tufikie level za juu, hatuwezi miaka yote kutegemea expertise kutoka nje ya nchi waje watujengee nchi , sisi tunabaki ku admire tuMfano mdogo wa tulichofanya wenyewe ni Mfugale bridge.
Na elimu wanayo piaKwenye kuua tamaduni za asili wakoloni maeneo mbalimbali ya Asia hasa hasa far East walikutana na kisiki cha mpingo hawa mabwana ni kama wamasai na wadzabe huku kwetu walikataa kubadilika katu katu, Mao naye alikuja kupigilia msumari wa kuua kabisa tamaduni za nje ya China.
Pongezi kwa wachina kwa kusimamia misimamo yenu ya kuenzi tamaduni zenu kwetu huku Afrika tunaita tamaduni ni ushetani kwa mujibu wa mafunzo ya dini za kikoloni tabu tupu bado tuna safari ndefu sana.
Aisee..Tuwaite wake wawekeze hizi mambo kigamboni sio kuuza chupi kariakoo.
Kweli kabisa mkuu.Na elimu wanayo pia
Jiulize sie tunao jifanya tunaelimika mila na tamaduni hazina nafasi tunafanya nini
Yani Tanzania tuna safari ndefu kweli ya kuelimika
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app