bonjov
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,100
- 2,491
Hata hivyo sikubali...yaani haiwezekani 😂🤣🤣🤣Toka hapa
Najipanga upyaa 😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hivyo sikubali...yaani haiwezekani 😂🤣🤣🤣Toka hapa
Na kikombe cha 5000 ukatupa baada ya kuona hapa unaenda aibika 😂😂Daah mkuu usinikumbushe, mimi sio wa kulipia 5,000 (in 2010 - 5,000 nyingi sana) halafu sipewi chai 😅☺️
Najua mimi, jirani huo mtego hauninasi nishajua unataka kusikia ilikuwaje? 😹Sasa hapo Mungu anahusikaje hadi umlaani.
Mkaenda kulala wote baada ya sherehe, mkapasha kiporo 😜Lamomy
Tulivoachana nikaenda chuo nae akaenda jeshini nilivomaliza nikirud home nikawa nafanya kazi sehemu sikuwa na mpango nae story zake nilipata sababu Kuna nduguzake nawafahamu
Sikumoja kukawa na shereh ya kipaimara yule mama alikuwa anawafanyia wanae shereh ukumbini night nikalipiwa kadi na boss sikuwa na kampani nae alikuwa haendi akaomba mm niskose anipe na zawadi yake nikamuwakilishe
Kuna kijana mmoja pale mtaani best yangu pia ana pikipiki akasema kuwa anaenda nikaomba kampani pia nikawa nimepata wa kurudi nae kwani ni mwendo kidogo toka home
Saa 2 tukaenda kulikuwa na watu wengi nikamkuta ankowangu na auntyangu pia wapo kwenye sherehe kwakuwa situmii pombe nikachukua biazangu nikawapa mm nikatulia kuangalia sherehe inavoenda baada ya sherhe waliandaa burudani mziki had asubhi kipindi kile Ilikuwa wanruhus had kufikia saa 4bwatoto wakaondolewa wakubwa wakabaki kucheza n kunywa nikaona sura km naijua nikapotezea akasogea kumbe yeye akanisalimia nikaitikia nikajifany naenda chooni akaondoka 😃 😃 😃 😃
Vya kupigana ngumi sitaki labda miti wii 😜😹Ngoja nikusimulie alivompiga rafikyngu🤣
Hizi akili siku nyingine huwa unaziweka wapi kwanini huwa hamuongelei ujinga wa wanaume wenzenu kama hao, sisi tukiwasema wanaume kama hao huwa mnatutukana na kujifanya wanasaikolojia uchwara, kwamba ina maana huwa hamjui kuwa kuna wanaume magalasa kama ambavyo kuna wanawake magalasa..anyway taratibu tu mtatuelewa!!Utatusamehe tu kwakweli hatuwezi kuona uzi wa mahusiano tusiuchangie.
Sasa kwa huyu ni changamoto ya wazi kama hadi kazi alikuwa anapata then analeta uzembe huyu ni tatizo. Kama ulikuwa hadi unalipia ada za wadogo zake na kodi sasa yeye alikuwa ni nani kwako?
Anyways,usichukie wanaume sababu ya m'moja aliyekuvuruga kumbuka wewe ndie ulimchagua sisi hatukuwepo katika kutongozana kwenu.
Ili nimsaidie unaemlaaniNajua mimi, jirani huo mtego hauninasi nishajua unataka kusikia ilikuwaje? 😹
Yani acha tu aunt 😂😂Kimekulambaaa shangaziii! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kiswahili kimeadvance sana, hayo maneno yamebaki nasi wakongwe wa miaka ya 80s"goigoi", neno sijalisikia siku nyingi sana 😅
Acha uwongo,hakuna dunia hii mwanamke baada ya yote uliyoorodhesha hapo kukufanyiwa na huyo uliyemuita mumeo atafanya ulichodai kukifanya hapa..
Kila akipata ajira hadumu anafukuzwa kwa sababu ya kutokujituma na malalamiko yasiyoisha (Ajira 3 tofauti in 2 years). Nilikua nalipa ada za wadogo zake, kodi nyumbani na majukumu mengine yote. Japo alikua na mema yake ila baada ya miaka miwili nilichoka na nikaona hakuna future. Niliomba uhamisho kazini kwenda mji mwingine, nilivyofika tu makao mapya, nikampiga kibuti.
Basi sawa, nitakubishiaje wewe mjuzi wa wanawake wote dunianiAcha uwongo,hakuna dunia hii mwanamke baada ya yote uliyoorodhesha hapo kukufanyiwa na huyo uliyemuita mumeo atafanya ulichodai kukifanya hapa.
Ulipie mashemeji zako ada?nani,mwanamke huyu huyu tunayemjua ambae kuna wakati hata kuwasaidia ndugu zake wa damu?
Siyo basi sawa pinga kwa hoja,kwanini unakuwa mwongo kwa vitu vilivyokaa uchi kama hivyo?wewe unadhani yupo mwanamke anaweza kumlipia ada shemeji yake?Basi sawa, nitakubishiaje wewe mjuzi wa wanawake wote duniani
Humu JF kuna maajabu, sasa wewe unabishia maisha yangu kwa kuniambia namna ambavyo haiwezekani bila kujua hata niliishije na hao shemeji zangu.Siyo basi sawa pinga kwa hoja,kwanini unakuwa mwongo kwa vitu vilivyokaa uchi kama hivyo?wewe unadhani yupo mwanamke anaweza kumlipia ada shemeji yake?
Tena wewe umeongeza kusema “wadogo zake” means walikuwa zaidi ya mmoja.
Ulikamatikaaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shangazi Niache tu [emoji23][emoji23]
Sicheki na wowowte sikuhiz 😃Ulikamatikaaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app