Taa nyekundu ikikuwakia, simama, kuendelea na safari ni kujitakia kifo

Taa nyekundu ikikuwakia, simama, kuendelea na safari ni kujitakia kifo

Nikachoka nikamwambia tuachane alicheka balaa alijua Sina ujanja nikaondoka kabisa pale nilivorud akawa kashaenda jeshin nikawa na amani kidogo alivorudi akaanza kuomba msamaha nikawa nachomoa hasira akaanza kunifanyia matukio ya ajabu ajabu ubabe na kunitishia maisha ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Aliwahi kupiga boyfriend wangu akapokea akamjibu hawez kuniacha aniache yeye ndo mumewangu ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Nik akamfata aunt yangu kumuomba amuombee msamaha
Nikabadili namba akawa anazipatab nikiblock anatafuta namba mpya
Tulipofikia ni kuwa sitaolewa na nikiolewa atafanya vurugu siku ya harusi yangu Yani kasema ni lazima aniharibie ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
We huyu hujamuamulia mi yule mshamba wa mapenzi alinipiga mkwara kwamba ananiuwa na yeye anakufa kwanza nikamtia polisi na kulikuwa bro wangu siku ya kutoka akampiga mkwara kwamba story zako tunazo umempa mwanamke ulemavu huko kwenu kigoma,Ila kwa huyu sister utanijua mimi ukimgusa.
 
We huyu hujamuamulia mi yule mashamba wa mapenzi alinipiga mkwara kwamba ananiuwa na yeye anakufa kwanza nikamtia polisi na kulikuwa bro wangu siku ya kutoka akampiga mkwara kwamba story zako tunazo umempa mwanamke ulemavu huko kwenu kigoma,Ila kwa huyu sister utanijua mimi ukimgusa.
Nilimwambia mtu akaenda kumuonya akapunguza pia hatuonani kabisa japo kupiga simu hajaacha anaweza Kaa hata miez 6
Ni muda Sasa toka tuachane miaka Kam 6 hiv
 
Mm nilikuwa mbishi my dear ngoja nipike kwanza nakuja nisimulie huku nalia nikiwa nimeshiba [emoji23][emoji23]
Kimekulambaaa shangaziii! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kumbee eeh nilikua niko na shetan face to face

Guess what? Anakuja kuniomba mim msaada amejisahaulisha anajitoa ufaham na mim narudisha faham zake Kwa kumkumbusha na kumtimua[emoji51]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] safii sanaa
 
Nilikuwa na mwanaume ambaye anataka Mimi ndiyo niwe kichwa cha familia, just imagine familia iongozwe na mtu ambaye anatumia hisia badala ya akili, kuna kutoboa hapo kweli..??

Yeye kila kitu ajibu Ndiyo, ukimpa ideas hana challenges zozote zile, Ilikuwa ni mahusiano ambayo Mimi ndiyo natakiwa niwe na ultimatum, kwenye kila wazo yeye anataka kujua unawaza nini, utakachojibu ndicho atakachosema 'Sawa'..!

Wakati tukio hilo la kusikitisha likiendelea, Mimi nilikuwa nataka mwanaume ambaye ni KIONGOZI, ambaye ana akili kuniliko, mwanaume ambaye nitaweza Kumuheshimu na Kumsikiliza without second guessing, mwanaume ambaye sitakuwa natoa maelekezo bali tutakuwa tunajadiliana kwa kina, nikaona nitakuja msumbua bure kijana wa watu, akili za kaskazini hazitaki akili iliyolala..!!

Nikatembea mbele na Bwana, sahii niko na hekaheka moja matata sana, mnafanya mazungumzo mpaka hoja zinakuishia unanyanyua mikono juu mwendo wa mateka, and daaaaang', that is my thing..!!
Para ya mwisho, nimecheka sanaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi ubishi na wivu wa kipumbavu nilitoka ๐Ÿƒ๐Ÿฝโ€โ™€๏ธBaada ya kupata story yake huko kwao kigoma aliwahi kumkata mpenzi wake mkono nikasema toba roho yangu.
Umekimbia uchiba with intention to make one in future ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Tilipendana ila mm nikafall Zaidi nikapata story ana mwanamke nikawa nalia na kumbembeleza asiniache wakat huo anakana kuwa sio mwanamke wake
Kipindi hiko Hana kazi anafatilia mipango aingie jeshini

Sikuwa na ujasiri wa kumuaccha had akanitamkia wazi siwez muacha nilionyesha rangi zote had za njano still nikakomaa [emoji2][emoji2]
Nikawa nashindwa kuonana nae Kam zamni nikawaa naandik barua za mapenz na kubembeleza [emoji2]
Rafikizangu wakaanza kunichukia nilikuwa sishauriki kwa yule jamaa Yani watasema hadi walie akinibembelelza kidogo tu bas

Sikumoja tukakutana tukakosana akasema nifanye lolote yeye ni kma polis na mm ndo mwizi vyovyote vile pale ndo nyumbani [emoji2][emoji2][emoji2]
Theresa49
Lamomy
Nuzulati
Bantu Lady
Shangaziii kweli ulizamaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Poleeee
 
Tilipendana ila mm nikafall Zaidi nikapata story ana mwanamke nikawa nalia na kumbembeleza asiniache wakat huo anakana kuwa sio mwanamke wake
Kipindi hiko Hana kazi anafatilia mipango aingie jeshini

Sikuwa na ujasiri wa kumuaccha had akanitamkia wazi siwez muacha nilionyesha rangi zote had za njano still nikakomaa ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
Nikawa nashindwa kuonana nae Kam zamni nikawaa naandik barua za mapenz na kubembeleza ๐Ÿ˜ƒ
Rafikizangu wakaanza kunichukia nilikuwa sishauriki kwa yule jamaa Yani watasema hadi walie akinibembelelza kidogo tu bas

Sikumoja tukakutana tukakosana akasema nifanye lolote yeye ni kma polis na mm ndo mwizi vyovyote vile pale ndo nyumbani ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
Theresa49
Lamomy
Nuzulati
Bantu Lady
Aseie, mami alikuwa anakupa nini kwani ๐Ÿ˜… ?
 
Aseie, mami alikuwa anakupa nini kwani ๐Ÿ˜… ?
Hakuna hataa Cha maana upuuzi sema mwanzo alikuwa ananijali sana Yan balaa kunibembeleza sasa had magot alkuwaa ananipigia na mm nilikuwa namkataaa nilivompenda akakengeuka ๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom