KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Hizo rangi kwenye tangazo zinafikirisha sana.Naomba msaada Huyu mtu kaiba mali ya kutosha Plant.
Carbon zenye Dhahabu atakayemuona naomba tuwasiliane 0744419100 Kuna zawadi nono itatolewa.
Sehem Carbon zimeibiwa na Majengo, sangambi chunya Mbeya.
NB;
NIMEIKUTA KWENYE MTANDAO WA X
Kivipi muungwana.....??Hizo rangi kwenye tangazo zinafikirisha sana.
Mimi kama muungwana nimeikuta mtandao wa X nikaona niisambaze..... inawezekana ikawa hivyo au ukawa wizi wa kuaminika maana alikuwa mlinzi........Kasababisha na mauaji au kaondoka kwa usamalia mwema?
Ila usipende kushare share... Wengine wachawi wanaanza na wewe... Au ukute ni Fake new... So ukajikuta matatizoni Mtanzania Mwenzetu... Bora tu tupigwe kipato chetu ila kiafya tuwe salama...Mimi kama muungwana nimeikuta mtandao wa X nikaona niisambaze..... inawezekana ikawa hivyo au ukawa wizi wa kuaminika maana alikuwa mlinzi........
Nadhani unapakuwa app yao alafu unafuata maelezo ni rahisi sanaHuo mtandao X unajisajili vipi nami niingie??
Asante sana kwa ukumbusho ndugu yangu...... nilidhani nafanya wema......I
Ila usipende kushare share... Wengine wachawi wanaanza na wewe... Au ukute ni Fake new... So ukajikuta matatizoni Mtanzania Mwenzetu... Bora tu tupigwe kipato chetu ila kiafya tuwe salama...
una X kwenye simu yako?Huo mtandao X unajisajili vipi nami niingie??
Ni wema... Lakini siku hizi kutenda wema kunazaa mengine... Keep it 💪 while una risk maisha yako...Asante sana kwa ukumbusho ndugu yangu...... nilidhani nafanya wema......
Namshauri akafanye cloningNaomba msaada Huyu mtu kaiba mali ya kutosha Plant.
Carbon zenye Dhahabu atakayemuona naomba tuwasiliane 0744419100 Kuna zawadi nono itatolewa.
Sehem Carbon zimeibiwa na Majengo, sangambi chunya Mbeya.
View attachment 3044344
NB;
NIMEIKUTA KWENYE MTANDAO WA X
Mie nilikua tangu enzi za twitter, saizi nikijaribu kujisajiri inakataa changamoto inaweza kuwa nini?Nadhani unapakuwa app yao alafu unafuata maelezo ni rahisi sana
View attachment 3044347