Taarifa: Anatafutwa na Jeshi la Polisi kwa wizi wa Carbon ya dhahabu

Nakumbuka waliibaga plant ma carbon wakadakwa... Hasira za wananchi kipindi kile bandari na RUSHWA vinazua utata... Wananchi walivuta sumu ya machungu ya RUSHWA wakalipizia
 
I
Mimi kama muungwana nimeikuta mtandao wa X nikaona niisambaze..... inawezekana ikawa hivyo au ukawa wizi wa kuaminika maana alikuwa mlinzi........
Ila usipende kushare share... Wengine wachawi wanaanza na wewe... Au ukute ni Fake new... So ukajikuta matatizoni Mtanzania Mwenzetu... Bora tu tupigwe kipato chetu ila kiafya tuwe salama...
 
I

Ila usipende kushare share... Wengine wachawi wanaanza na wewe... Au ukute ni Fake new... So ukajikuta matatizoni Mtanzania Mwenzetu... Bora tu tupigwe kipato chetu ila kiafya tuwe salama...
Asante sana kwa ukumbusho ndugu yangu...... nilidhani nafanya wema......
 
Huyo akijitokeza na mwanasheria nzuri hamuambulii kitu .
Hata mkataba wake unaweza kukuta una kasoro au hamukumpa kabisa mkataba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…