Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kama kuna changamoto ndugu....nadhani unatakiwa tu kuangalia na kufuata maelezo yao vyema..... hawawezi kuweka mazingira magumu kwa kuwa wewe ni mteja wao.....Mie nilikua tangu enzi za twitter, saizi nikijaribu kujisajiri inakataa changamoto inaweza kuwa nini?
Hahaahahhaa!!!!!!Inakuwaje mtu kaiba dhahabu nchini kwake... Kama kawaibia wachina amna kesi apo... Kama kaibia watanzania wenzetu wakimpata wagawane waschukue zote...
Maisha yanachosha bro... Nimeishi mgodini naelewa maboss wanavotesa watu... Ndio maana bro kaamua kusepa na Carbon😂😂😂Hahaahahhaa!!!!!!
Lakini kila jambo si lina utaratibu wake.......???
Lugha ya wanataaluma hii muungwana.......hebu iwekee nyama kidogo ili waungwana wengine wapate maarifa kidogo.....Namshauri akafanye cloning
Hakika haya maisha yanataka subira Sana.....lakini pia tuangalie na njia zenyewe ili hizo Neema zituneemeshe na sio kutuletea matesoMa
Maisha yanachosha bro... Nimeishi mgodini naelewa maboss wanavotesa watu... Ndio maana bro kaamua kusepa na Carbon😂😂😂
Acha kusambaza mwenzio apo kashatoboa wew ulitaka alinde miaka buku na hela anaziona auNaomba msaada Huyu mtu kaiba mali ya kutosha Plant.
Carbon zenye Dhahabu atakayemuona naomba tuwasiliane 0744419100 Kuna zawadi nono itatolewa.
Sehem Carbon zimeibiwa na Majengo, sangambi chunya Mbeya.
View attachment 3044344
NB;
NIMEIKUTA KWENYE MTANDAO WA X
Umeongea point... Hapo ndipo alipokosa... Tamaa mbele mauti nyuma... Cha kumshauri arudishe mali hakuna namnaHakika haya maisha yanataka subira Sana.....lakini pia tuangalie na njia zenyewe ili hizo Neema zituneemeshe na sio kutuletea mateso
Watu hua ni kama wanachoka na malipo ya kinyonge wanajikuta wanaingia kwenye hasira na kufanya haya,japo tabia ya wizi ni ya mtuhusika,ila kuna unyonge na ufinyu wa malipo kutoka kwenye makampuni,mashirika,serikali na maeneo kadha wa kadha ya kazi,huku ukiona watawala wanakula cake vizuri sana,inaweza kumbadilisha mtu na kufanya hayaNaomba msaada Huyu mtu kaiba mali ya kutosha Plant.
Carbon zenye Dhahabu atakayemuona naomba tuwasiliane 0744419100 Kuna zawadi nono itatolewa.
Sehem Carbon zimeibiwa na Majengo, sangambi chunya Mbeya.
View attachment 3044344
NB;
NIMEIKUTA KWENYE MTANDAO WA X
💯💯I
Ila usipende kushare share... Wengine wachawi wanaanza na wewe... Au ukute ni Fake new... So ukajikuta matatizoni Mtanzania Mwenzetu... Bora tu tupigwe kipato chetu ila kiafya tuwe salama...
Hakika ndugu.....Watu hua ni kama wanachoka na malipo ya kinyonge wanajikuta wanaingia kwenye hasira na kufanya haya,japo tabia ya wizi ni ya mtuhusika,ila kuna unyonge na ufinyu wa malipo kutoka kwenye makampuni,mashirika,serikali na maeneo kadha wa kadha ya kazi,huku ukiona watawala wanakula cake vizuri sana,inaweza kumbadilisha mtu na kufanya haya
Niwie radhi muungwana kama umekereka na andiko hiliAcha kusambaza mwenzio apo kashatoboa wew ulitaka alinde miaka buku na hela anaziona au
Mlinzi tu huyo kapewa chenji ili wezi waibe hizo carbon kumbuka ni lazima watumie magari Tipper kuiba kwa hiyo hapo mwenye mali mara nyingi anawajua au kusikia wezi wake ila kesi inaanza kwa mlinzi na muda mwingine watatangaza mlinzi anatafutwa kumbe wahuni wamemuua na kumtupa porini mambo za Chunya hizo pana miguu mingi maana hizo Carbon huwa zinakua porini sio mjini..vitu vingine siku ingine waachie wenyewe mazee..Asante sana kwa ukumbusho ndugu yangu...... nilidhani nafanya wema......
Mbona Kuna namba mbili tofauti au hii nyingine ya udalali?Naomba msaada Huyu mtu kaiba mali ya kutosha Plant.
Carbon zenye Dhahabu atakayemuona naomba tuwasiliane 0744419100 Kuna zawadi nono itatolewa.
Sehem Carbon zimeibiwa na Majengo, sangambi chunya Mbeya.
View attachment 3044344
NB;
NIMEIKUTA KWENYE MTANDAO WA X
Normal... Ni mojawapo ya komenti tu mkuu jiskie upo nyumbani Where We Dare To Talk OpenlyNiwie radhi muungwana kama umekereka na andiko hili
Haya maswali ni baada ya kuzipiga au kabla ya kuzipiga....??Mbona Kuna namba mbili tofauti au hii nyingine ya udalali?
Asante sana kwa taarifa ndugu yangu......Mlinzi tu huyo kapewa chenji ili wezi waibe hizo carbon kumbuka ni lazima watumie magari Tipper kuiba kwa hiyo hapo mwenye mali mara nyingi anawajua au kusikia wezi wake ila kesi inaanza kwa mlinzi na muda mwingine watatangaza mlinzi anatafutwa kumbe wahuni wamemuua na kumtupa porini mambo za Chunya hizo pana miguu mingi maana hizo Carbon huwa zinakua porini sio mjini..vitu vingine siku ingine waachie wenyewe mazee..