Searching for the truth
JF-Expert Member
- Mar 22, 2022
- 903
- 1,851
- Thread starter
-
- #21
We ulishaona mbali mkuu.Pole sana mkuu
Kuna kipindi nilikuwa na changamoto jamaa yangu akaniambia kuna makampuni ya mikopo mitandaoni..... Nilimwambia siwezi
Ah ah tena shukuru awakukufungulia group la Whatsapp maana awacheli
Fungua kesi ya defamation watakulipa fidia na litakuwa funzo kwao na kwa makampuni uchwara kama hayo.Huenda ni mimi nilifanya makosa kwa kutopitia terms & conditions vizuri ila hawa jamaa walicho nifanyia ni uzalilishaji mkubwa sana.
Kuna app moja mtandaoni (play store) inaitwa "PESA M FINANCE".
Hawa jamaa walinikopesha elfu 42 mtandaoni kwa muda wa siku 7.
Siku jana nilitakiwa ndiyo nilipe, na jana hiyo nilikuwa kazini nikitegemea nitoke kazini jioni niwalipe pesa yao.
Lakini nashangaa jana mida ya mchana saa saba, watu wanaanza kunitumia kunipigia simu na kunifoadia sms kuwa nadaiwa.
Kumbe hii kampuni ilichofanya baada ya kunikosa hewani jana mda flani, wakatuma sms kwa watu wote walioko kwenye phone book yangu (watu zaidi ya 200) kuwajuza kuwa wananidai na nataka kuwatapeli.
Nikawa napata simu ngingi sana kutoka kwa hao watu waliotumiwa hiyo sms.
Aisee niliona ni udhalilishaji sana hii kampuni imenifanyia.
Sasa nikajiuliza walipataje majina yaliyopo kwenye simu yangu, hapo ndipo nilipokumbuka kwenye app yao ukiwa unafungua kuna sehemu itaandika "allow access to your contacts, messeges n.k" hapo ndipo walipopata majina ya phone book yangu.
Sasa tangu jana hiyo nimekosa raha kabisa baada ya kuzalilishwa na mimi nimeamua kutowalipa mpaka sasa.
Nimepata wazo la kutafta mwanasheria nikawafungulie kesi ya kunidhadhalisha wanilipe fidia, kwanini wanidhalilishe wakati dead line ya malipo ilikuwa bado haijapita
View attachment 2910966View attachment 2910967
Kwanini watu wanaacha pesa za wazi wazi hivi? Hapo akifungua kesi ya defamation anashinda maana sheria ipo wazi huwezi kumtangaza mtu mitandaoni kwamba unamdai pasipo kufuata procedures zote.Hii adha alikutana nayo PS wa ofisini kwetu, tulimshauri atafute mwanasheria akaogopa akaishia kulalamika. ila yeye case yake ni tofauti kidogo, walimdhalilisha akiwa ameshafanya malipo tayari na wao ndio walichelewa kuconfirm malipo.
Kuwapa access haimaanishi watumie namba zake unless wametaja hicho kipengele.Hiyo access uliwapa wewe mwenyewe....
Mara ya kwanza ulipoanza kutumia hiyo app ilikutaka uruhusu matumizi kama location,storage na some authority options ndio maana yamekutokea hayo....
Hao dawa yao simu inakua rooted,Una remove acces ya contact unawaomba mkopo,wanakupa....
Unafungua lucky patcher unaedit custom firmware za app halafu unafuta na application
Matapeli tu hao wanafanya online business kitapeli hawalipi kodi mbalimbali za serikali na ukute hawana kibali kutoka wizara ya fedha kufanya biashara mtandao.Wananitishia kuwa watanitafta niwatejeshe na gharama walizotumia, au ni mikwara tu.
Sema wameniaibisha sana
watoto wakishua hamuwezi kuelewa huu mtiti kuna wengine kwenye circle zetu sisi ndio wenye nafuuJamaa ameniangusha sana phone book majina zaidi ya 200 but hakuna hata mmoja anayemwamini hela chini ya laki?
Ndicho ninachohisi kiko kichwani mwa watu wangu sasahiviWanakupunguzia heshima!
Wapo watu wanakuheshimu na ni muda hawajasikia kutoka kwako so wakiona sms dizain hiyo wanasema huyu jamaa alivyokuwa smart siku hizi amekuwa tapeli anatapeli mpaka mitandaoni?basi siyo wa kumuamini tena.
Ndicho ninachohisi kiko kichwani mwa watu wangu sasahiviWanakupunguzia heshima!
Wapo watu wanakuheshimu na ni muda hawajasikia kutoka kwako so wakiona sms dizain hiyo wanasema huyu jamaa alivyokuwa smart siku hizi amekuwa tapeli anatapeli mpaka mitandaoni?basi siyo wa kumuamini tena.
Mimi interest zao ndiyo zinanifanya nipate wasi wasi kuwa hawa ni wahuni tu.Matapeli tu hao wanafanya online business kitapeli hawalipi kodi mbalimbali za serikali na ukute hawana kibali kutoka wizara ya fedha kufanya biashara mtandao.
Hao wakifikishwa mahakamani wataumbuka kwa mambo mengi sana na kukulipa fidia juu.
Waulize wakupe confirmation SMS kwamba pesa ilikuja kwakoHizi kampuni hazina muda mrefu zitafilisika kwa kesi mahakamani,maana Mimi wamenipigia kwamba wananidai wakati hata kumi mbovu haijaingia!
Wataishia kutuma sms za vitisho tu. Mwongozo wa BOT ni wanaotakiwa kukopesha ni wale wenye leseni. Ingia website ya bot utaona majina ya kampuni zote zenye leseni ya kutoa mikopo. Hao ni wapigaji tuWananitishia kuwa watanitafta niwatejeshe na gharama walizotumia, au ni mikwara tu.
Sema wameniaibisha sana
Hata kama dead line ingekuwa imepita kuna due interest (ada ya ucheleweshaji) huwa wanaweka.Fungua kesi ya defamation watakulipa fidia na litakuwa funzo kwao na kwa makampuni uchwara kama hayo.
Hawana credibility ya kukutangaza kwa watu ambao hukuwaweka kama wadhamini wako.
Pia deadline ilikuwa bado na pia hata deadline ingepita bado wangekupa muda wa ziada wa kulipa deni lao.
ukiunstall application vp bado wanaweza kuaccess your phonebook?Hiyo access uliwapa wewe mwenyewe....
Mara ya kwanza ulipoanza kutumia hiyo app ilikutaka uruhusu matumizi kama location,storage na some authority options ndio maana yamekutokea hayo....
Hao dawa yao simu inakua rooted,Una remove acces ya contact unawaomba mkopo,wanakupa....
Unafungua lucky patcher unaedit custom firmware za app halafu unafuta na application
Backup ya taarifa zake ziko kwenye system yao. Hata akifuta hiyo app wao bado wanazoukiunstall application vp bado wanaweza kuaccess your phonebook?
Kama simu haijapigwa root lazma wa access tuukiunstall application vp bado wanaweza kuaccess your phonebook?