T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Ukiwashtaki arrest warrant ikitoka unaenda kuwakamata wakiwa ofisi gani. Yani polisi hawahawa wa bongo ndio uwaambie cyber itrack namba za hao wakopeshaji wakakamatwe, na hapo amri itoke mahakamani. Mtu mwenyewe ndio huyu phone book namba 200+ hakuna wa kumkopesha 50,000.Matapeli tu hao wanafanya online business kitapeli hawalipi kodi mbalimbali za serikali na ukute hawana kibali kutoka wizara ya fedha kufanya biashara mtandao.
Hao wakifikishwa mahakamani wataumbuka kwa mambo mengi sana na kukulipa fidia juu.
Huo usumbufu bora uachane nao uwalipe. Sanasana anaweza watishia awasisitize watume sms ya kuomba radhi kwa hizo namba wajifanye hakukopa au hakuchelewesha kulipa.