Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Unajidhalilisha mwenyewe, hukusoma masharti na hujalipa. Kosa lao Nini?Bora hata wangenidhalilisha dead line ishapita.
Jamaa wananidhalilisha hata dead line ya kulipa bado
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajidhalilisha mwenyewe, hukusoma masharti na hujalipa. Kosa lao Nini?Bora hata wangenidhalilisha dead line ishapita.
Jamaa wananidhalilisha hata dead line ya kulipa bado
DuuhNdio tena wanachukua contact zako zote kwenye Simu Kisha linafunguliwa group lenye jina la
vladimir putin Ni mdaiwa Sugu
Kisha wanatuma taharifa zako zote kuanzia kitambulisho Cha NiDA au namba na vinginevyo
Tupe maujanja ulifanyaje?Hiki ndo nilichowafanyia PESA X mbwa wale, nimepita na 80000 yao, na kunishika hawawezi, shenzi kabisa yani mtu ukikaa tu siku tatu bila kuwalipa wanaaza usumbufu wa kingese.
Mpaka waje kudevelop hizo applications zao tutakuwa tumewaliza sana.
Kweli aiseePamoja na hao jamaa kukukwaza, lakini niseme wazi watanzania pia tuwe na utamaduni wa kulipa madeni tunapokopa.
Rafiki Akimkopesha mtanzania, urafiki ujue umeisha.
Ukiwa na shida jua pia aliekupa hela kuna sehemu kajinyima ili akupe utatue tatizo lako, ukimaliza jitahidi sana kulipa deni husika.
Hawajui sheria hao, ukitaka kuwakomesha walipe then waburuze mahakamaniKwa hiyo tunadaiana kwa kutumia nguvu au kwa mujibu wa sheria.
Hata mimi naona hivi hawa jamaa wataenda sana mahakamani km wasipojerekebishaHizi kampuni hazina muda mrefu zitafilisika kwa kesi mahakamani,maana Mimi wamenipigia kwamba wananidai wakati hata kumi mbovu haijaingia!
Ukiwa ofisi za mafisadi unalazimisha watu wote wawe sawa na wakohao marafiki zako 200 wameshindwa kukulipia deni achana nao, futa wote,
Hahahahaha..huu ni udhalilishaji wa wazi waziNdio tena wanachukua contact zako zote kwenye Simu Kisha linafunguliwa group lenye jina la
vladimir putin Ni mdaiwa Sugu
Kisha wanatuma taharifa zako zote kuanzia kitambulisho Cha NiDA au namba na vinginevyo
Hahahahaha..inafikirisha sana lkn inawezekana piahao marafiki zako 200 wameshindwa kukulipia deni achana nao, futa wote,
Hahaha hao watu washapigwa sana mjini hapa. Sasa wameboresha kwa njia hiyo sawa. Mwqnzoni mwa hizo mambo walikuwa loose sana. Wakagongwa weeeee hii ndo dar salaamaHuenda ni mimi nilifanya makosa kwa kutopitia terms & conditions vizuri ila hawa jamaa walicho nifanyia ni uzalilishaji mkubwa sana.
Kuna app moja mtandaoni (play store) inaitwa "PESA M FINANCE".
Hawa jamaa walinikopesha elfu 42 mtandaoni kwa muda wa siku 7.
Siku jana nilitakiwa ndiyo nilipe, na jana hiyo nilikuwa kazini nikitegemea nitoke kazini jioni niwalipe pesa yao.
Lakini nashangaa jana mida ya mchana saa saba, watu wanaanza kunitumia kunipigia simu na kunifoadia sms kuwa nadaiwa.
Kumbe hii kampuni ilichofanya baada ya kunikosa hewani jana mda flani, wakatuma sms kwa watu wote walioko kwenye phone book yangu (watu zaidi ya 200) kuwajuza kuwa wananidai na nataka kuwatapeli.
Nikawa napata simu ngingi sana kutoka kwa hao watu waliotumiwa hiyo sms.
Aisee niliona ni udhalilishaji sana hii kampuni imenifanyia.
Sasa nikajiuliza walipataje majina yaliyopo kwenye simu yangu, hapo ndipo nilipokumbuka kwenye app yao ukiwa unafungua kuna sehemu itaandika "allow access to your contacts, messeges n.k" hapo ndipo walipopata majina ya phone book yangu.
Sasa tangu jana hiyo nimekosa raha kabisa baada ya kuzalilishwa na mimi nimeamua kutowalipa mpaka sasa.
Nimepata wazo la kutafta mwanasheria nikawafungulie kesi ya kunidhadhalisha wanilipe fidia, kwanini wanidhalilishe wakati dead line ya malipo ilikuwa bado haijapita
View attachment 2910966View attachment 2910967
Nimewauliza hawajapiga Tena!Waulize wakupe confirmation SMS kwamba pesa ilikuja kwako
Mkopeshe basi weweDawa ya deni ni kulipa tu.
Walipe hela yao Zen achana nao.
Then unakopaje kiasi hicho cha pesa Kwenye taasisi?
Umeshindwa kabisa kupata mtu wa karibu akakukopesha?
Toa nondo kidogo mkuuHiyo access uliwapa wewe mwenyewe....
Mara ya kwanza ulipoanza kutumia hiyo app ilikutaka uruhusu matumizi kama location,storage na some authority options ndio maana yamekutokea hayo....
Hao dawa yao simu inakua rooted,Una remove acces ya contact unawaomba mkopo,wanakupa....
Unafungua lucky patcher unaedit custom firmware za app halafu unafuta na application
Hahahaha? Ufungue line, ujaze majina ya uongo, ukope na kulipa mpaka ufike elf 30 halafu uvunje line. Kweli watu mna hasira.Mimi yalinikuta haya sina hata hamu,ila nilichopanga hawa nawatafutia laini mpya harafu na save namba za uongo uongo ili nikipiga pesa hata elfu 30,000 basi laini naofutia usajiri
Kila mtu anadaiwa. Nani hana madeni? Mtu anayeondoka kwenye maisha yako sababu unadaiwa huyo hana maana.Sina raha hata leo yani maana kuna watu nahisi ndiyo nishawapoteza moja kwa moja.
Hiyo imemkuta bro wangu.Yeye aliamua kutowalipa kabsa maana siyo kwa udhalilishaji ule.Wananitishia kuwa watanitafta niwatejeshe na gharama walizotumia, au ni mikwara tu.
Sema wameniaibisha sana
Lipa usiwaingize WazeeSasahivi wamempigia mzee wangu kijijini wamemtaitisha, mzee amenicheki kanambia anataka kutupa laini.
Nimemwelewesha lakini mzee nae haelewi 😮💨
Kwa mtu aliyekopa, ukisoma Terms na Conditions zao, basi hakika huwezi kushinda kesi yeyote mahakamani dhidi yao, zile T & C’s hakika ukizisoma, huwezi kopa kwao, zinajipa nguvu na haki za ajabu sana, zingine ni uncostitutional kabisa, ila kwakuwa umekubali kwa shida zako, ishi nao tu.Kwanini watu wanaacha pesa za wazi wazi hivi? Hapo akifungua kesi ya defamation anashinda maana sheria ipo wazi huwezi kumtangaza mtu mitandaoni kwamba unamdai pasipo kufuata procedures zote.