Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hapo changamoto ni hii hapa:Nimewauliza hawajapiga Tena!
They are beatable, inahitaji mtu mmoja tuu aamue kutumia pesa kupata good lawyers ili kuwatia adabu mpaka kuwafilisi na itakuwa fundisho kwenye vikampuni vingine vya namna hiyoKwa mtu aliyekopa, ukisoma Terms na Conditions zao, basi hakika huwezi kushinda kesi yeyote mahakamani dhidi yao, zile T & C’s hakika ukizisoma, huwezi kopa kwao, zinajipa nguvu na haki za ajabu sana, zingine ni uncostitutional kabisa, ila kwakuwa umekubali kwa shida zako, ishi nao tu.
Anaeweza kufungua kesi ni contacts wako wanao kuwa harassed wakati hawakushirikishwa wakati unakopa.
Shida mara nyingi hata hizo kampuni zina operate kijanja janja. Kwa mfano ukiwashtaki, barua ya summons kuwaita mahakamani unaipeleka wapi? Ofisi zao ziko wapi?They are beatable, inahitaji mtu mmoja tuu aamue kutumia pesa kupata good lawyers ili kuwatia adabu mpaka kuwafilisi na itakuwa fundisho kwenye vikampuni vingine vya namna hiyo
Kwahiyo BOT inaruhusu kampuni ambazo hazijasajiwa Brella kutoa mikopo?Shida mara nyingi hata hizo kampuni zina operate kijanja janja. Kwa mfano ukiwashtaki, barua ya summons kuwaita mahakamani unaipeleka wapi? Ofisi zao ziko wapi?
Hao wanajifanyia kihuni tu, unadhani hata wamesajiliwa na BOT?Kacheki kwenye website ya BOT microfinances zilizosajiliwa kutoa huduma za mikopo, ukiwakuta hao, nipigwe ban JF wiki nzimaKwahiyo BOT inaruhusu kampuni ambazo hazijasajiwa Brella kutoa mikopo?
Ustawi loan tu ndo niliwaonaHao wanajifanyia kihuni tu, unadhani hata wamesajiliwa na BOT?Kacheki kwenye website ya BOT microfinances zilizosajiliwa kutoa huduma za mikopo, ukiwakuta hao, nipigwe ban JF wiki nzima
FRANCIS DA DON
Hheeee?! Kumbe?! Kwahiyo hata wakitapeliwa hawawezi kumshitaki mtu si ndio maana yake?Hao wanajifanyia kihuni tu, unadhani hata wamesajiliwa na BOT?Kacheki kwenye website ya BOT microfinances zilizosajiliwa kutoa huduma za mikopo, ukiwakuta hao, nipigwe ban JF wiki nzima
FRANCIS DA DON
Inawezekana hizo zote ni za kampuni za mtu mmoja. Kuna jamaa nahisi kakopa kwenye hizo app zote kisha katupa lineOngezea na hiziView attachment 2911697
Unajidhalilisha mwenyewe, hukusoma masharti na hujalipa. Kosa lao Nini?
Siwalipi aisee hata mimi waje wanikamate tu wakanifungeHiyo imemkuta bro wangu.Yeye aliamua kutowalipa kabsa maana siyo kwa udhalilishaji ule.
Watu wanadaiwa ndiyo lakini siyo kwa matangazo yale.Kila mtu anadaiwa. Nani hana madeni? Mtu anayeondoka kwenye maisha yako sababu unadaiwa huyo hana maana.
Aisee..Ndio tena wanachukua contact zako zote kwenye Simu Kisha linafunguliwa group lenye jina la
vladimir putin Ni mdaiwa Sugu
Kisha wanatuma taharifa zako zote kuanzia kitambulisho Cha NiDA au namba na vinginevyo
Nafikiri kuna kitu nimejifunzaKuweni makini sana na hizo app, zipo zinazochukua mpaka, contents zote zilizopo kwenye storage, na kama kuna picha au video zako za hovyo, basi unakwisha....
Zachini chini, wanapiga pesa ndefu kwenye kuwatisha watu kuwa watavujisha picha na video zao za uchi au ngono,..hivyo kuna watu wanalipa kila mwezi hata baada ya mkopo kuisha....Nafikiri kuna kitu nimejifunza
Zachini chini, wanapiga pesa ndefu kwenye kuwatisha watu kuwa watavujisha picha na video zao za uchi au ngono,..hivyo kuna watu wanalipa kila mwezi hata baada ya mkopo kuisha....