Taarifa fupi ya utekaji

Mshana Jr kaa kimachale kumbuka umetoa namba yako hapa jana.
 
Nakubaliana na wewe 100%, anayetuongoza kujifanya mcha Mungu kumbe ni dictator haswa
Kabisa, ukijifanya unatoa maoni ya kurekebisha au kukosoa kitu, ghafla wanakuona ni adui na wanatafuta kukuua, hakika hawa watu ni mashetani, wanathamini madaraka yao na vyeo vyao kuliko utu wa kibinadamu
 
Hivi kama hawajamaa walipigiwa simu na polisi, halafu wakapotea je hakuna mahali pa kuanzia kweli hawa wakapatikana.

No reforms no election
 
Inauma, inasikitisha, inatia uchungu, na inaliza sana
 
Trump - RAIS wa nchi, akiwa anahutubia kwenye Bunge la senate, kuna baadhi wabunge waliamua kutoka nje kabisa. Kuna wananchi pia nao walipingana na hoja alizowasilisha. Huwezi sikia FBI au CIA wakija na kuwateka. Ukifanya hivyo Tz, ukinusurika kutekwa basi jiandae kuhojiwa uraia au kupewa kesi ya uhujumu uchumi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…