Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Haha ni mimi tu nimebaki humu sina hicho kitiki cha blueMimi niko verified bahati yao 😀😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha ni mimi tu nimebaki humu sina hicho kitiki cha blueMimi niko verified bahati yao 😀😀😀
Fanya namna Mkuu, Maxence Melo anavigawa kama karangaHaha ni mimi tu nimebaki humu sina hicho kitiki cha blue
Samia....
Haha ni mimi tu nimebaki humu sina hicho kitiki cha blue
Yeye ni msukuma pia by birth amd blood..Ina maana makamo hayupo? Ila tuache utani kama sio huyu mwamba sukuma gang wangeibeba hii waipeleke chato.
Sukuma by birth unamaanisha nini ndugu, yawezekana na mimi nikawa zaramo by birth?[emoji72]Yeye ni msukuma pia by birth amd blood..
Rwanda nazan wana kitu cha utofauti au ni ziara za kawaida za wakuu wa majeshi, juzi hapo Rwanda katoka mkuu wa majeshi wa Angola, then kabla yake walkua na ugen tena
Ni msukuma pure, baba yake, mama yake, babu yake ma bibi yake...Sukuma by birth unamaanisha nini ndugu, yawezekana na mimi nikawa zaramo by birth?[emoji72]
Wachomoe jwtz congo kagame ashauri hilo
Tz general ni mmoja tuu. Huko rwanda mageneral wapo kama 10 hivi.
Aseee
Rwanda nazan wana kitu cha utofauti au ni ziara za kawaida za wakuu wa majeshi, juzi hapo Rwanda katoka mkuu wa majeshi wa Angola, then kabla yake walkua na ugen tena