Ndio nini sasa labda,, kwamba wao Rwanda jeshi lao liko imara au,, we unaona ajabu Rwanda kuwa na majeneral 10 wakati vile vikundi vya waasi kule congo kila mtu general,, inategemea na namna wanavyopeana huo ugeneral ila sie hapa hatupeani tu ovyo ovyo,, huyo general wa Rwanda kiuwezo kwetu hapa kuruta tu,,, na sio kwamba miziki ya wabongo hawaijui, wanaijua vizuri tu,, kuwashinda lile genge la wale jamaa wasiokuwa na mafunzo yoyote kule msumbiji isiwe nongwa humu,, rejea kile kikundi chake cha m23 walivyotolewa mkuku na jeiwii.. nilichogundua watusi mnapewa bahasha humu ili mumpambe huyo jamaaa yenu, mana general mabeyo anakwenda sehemu nyingi tu, lkn kwenda Rwanda tu kelele zimeanza humu