Baby leo interview yetu atakuwa nani?Mbona hujaniita baby!
naunga mkonyo hojanaomba umuhoji Deo Kisandu.
Ila umefanya siku chache ..mbili tu?Hapo sawa baby ntakujuza!
Tunapenda kujuza kwamba,
Kuanzia wiki hii tutakuwa Na interviews mbili tu kwa wiki.
Kwa siku za jumatatu Na alhamisi
Kuanzia saa kumi Na nusu jioni.
Ikiwa kutatokea mabadiliko ya
Siku tokana Na udhui tutawataarifu
Mapema.
Pia tunaendelea kukaribisha maombi kwa wale wanaopenda
Kushirikiana nasi adventure za maisha.
Ikiwa upo free Na huru kuwa mgeni
Katika interviews karibu sana.pm yangu iko wazi masaa 24.
Eee ndo nzuri,JF inakua imechangamkaBaby wewe unapenda double double?
Then Le mutuznaomba umuhoji Deo Kisandu.