Jurrasic Park
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 3,801
- 6,806
Kama hajasema ameshawahi kutakiwa kimapemanzi na mama makumu wa nchinaomba umuhoji Deo Kisandu.
[emoji106] [emoji106]watu wa huku hawana ustarabu kabisa na nachowashangaa wengine ni malimbukeni wa wanawake wakiona mwanamke basi wanaleta fujo kama ingekuwa ni mwanaume isingejaa uzi.
Ila tustarabike jamani sio kila mtu aulize
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]naomba umuhoji Deo Kisandu.
Naunga hoja mkonoHivi hamuwez kumuomba hata Moderator Mmoja mumfanyie Interview
Leo itakuwa ya nani?
Nakusikiliza wewe laaziz,nikufanyie lini?Baby vp kuhusu intavyuu yangu linii?
Ili iweje mkuu?Mbona hujaniita baby!
Mpenzi wangu.huyu ni baby tu(mtoto)Ili iweje mkuu?
Nasuggest awe cookie,si wa kike yule?Hivi hamuwez kumuomba hata Moderator Mmoja mumfanyie Interview
Kumbe una mtoto mkubwa hivyo?Mpenzi wangu.huyu ni baby tu(mtoto)
Mpenda kiki katika ubora wako.Tunapenda kujuza kwamba,
Kuanzia wiki hii tutakuwa Na interviews mbili tu kwa wiki.
Kwa siku za jumatatu Na alhamisi
Kuanzia saa kumi Na nusu jioni.
Ikiwa kutatokea mabadiliko ya
Siku tokana Na udhui tutawataarifu
Mapema.
Pia tunaendelea kukaribisha maombi kwa wale wanaopenda
Kushirikiana nasi adventure za maisha.
Ikiwa upo free Na huru kuwa mgeni
Katika interviews karibu sana.pm yangu iko wazi masaa 24.
Nina au tuna?Kumbe una mtoto mkubwa hivyo?
Yah embu afanye kuongea nao itaongeza ubunifu zaid tusikie na wao challenges zaoNasuggest awe cookie,si wa kike yule?