Taarifa kutoka TRA kuhusu kubadilisha umiliki wa chombo cha moto

TRA hii akili nawapa bure kabisa.
Ni mara ngapi kwa mwezi umiliki wa vyombo unabadilika?
Wangapi wanabadili? = Very few, kwa sababu ya huu urasimu wenu..
Mtajuaje Kama Mimi mmiliki halali au lah?
Hapo mnategemea kupata Bei gani?
Kuna pesa imekaa tu mifukoni mwetu hamtaki kuichukua.
Asilimia kubwa ya waendesha pikipiki hawana leseni, sio kwamba hawataki kuzinunua Ila urasimu wenu.
Sehemu za kuvhukulia leseni Ni chache mno na ziko mbali na wahitaji.
Isitoshe kumonitor asiye na leseni Ni rahisi kuliko ku monitor gari ambayo haijafanyiwa uhanisho.
Leseni moja Ni 70k.

Hii desa anaweza kuichukua mtu anayechukua PhD ya taxation.
 
Hence: watu hawatauziana na tra Watakosa mapato

Hawa majamaa wamesomea wapi!?

Udsm ndio inaleta majitu kama haya au degree za chupli chupli?

Yaani jitu linaongea kiurahisi tu halijali yaani
Saint Ivuga:

Huyu kabebeshwa gunia la miba alafu watu wamuangalie utekelezaji wake.
 
Stupidity will never end, wakati wenzao agents wanamaliza kazi TRA wanatengeneza Mazingira ya Rushwa waone sura za watu ili wawaombe rushwa
 
Kuna Jamaa aliniambia kubadilisha Kuna la umiliki. Wa gari/kadi ni laki 6🤣😅
 
Kwanink

Kwa nini tunalipia kadi 50,000 .. ? Huu ni udhamba mkubwa. Kwanza hatuhitaji hiyo kadi0
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…