Uchaguzi 2020 Taarifa kuwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi itazuia Mawakala wa Vyama kuingia na simu zao katika vituo vya kupigia kura imetushtua

Nakushangaa. Taharuki itatoka wapi kama matokeo yako sahihi na wazi kwa kila muwakala? Kupiga picha ni kuweka kumbukumbu "for future reference". Mnaopinga hili mna nia ya kuchezea matokeo.
 
mnaogopa nini kama mna uhakika mtashinda kihalali?
 
Rais anawapongeza team iliyowezesha mkataba mpya wa madini akiwamo professor P Kabudi . Amewaomba viongozi wa dini wawaombee sana

Maendeleo hayana vyama
Lisu aliesema tutashitakiwa sijui anajisikiaje sasa
 
Mkuu penda kufikirisha ubongo otherwise kichwa kinaweza kuwa mzigo usiyo na maana kwa miguu,NEC inasema mawakala siyo lazima kupewa nakala za matokeo na wakati huohuo inakataza simu kuhifadhi matokeo,Si ndo upuuz huu
Yaani hawa Tume wanatuona sisi wapiga kura ni mazuzu. Tushinde kwenye jua tukisubiri kupiga kura halafu mwisho wa siku wazichezee kura zetu? Wallah haikubariki kamwe.
 
Hiyo ni kanuni ya tume, na chama chako chadema walisaini fomu ya maadili ya uchaguzi! Na walikubali, Sasa wewe askofu mchunga siasa unapinga Kama Nani?

Viongozi wa dini Leo walikuwa ukumbi wa Mwalimu Nyerere wakati Rais anapokea gawio la billion 100!!
Wewe endelea na siasa, siku ya mwisho Mungu atakuuliza haesabu yake
 
Tununue digital camera zile ndogo, maana wamezuia simu sio digital camera, tupige picha matokeo tutoe memory card tukishatoa unatia mdomoni unameza, hata wakichukua camera tayari ushahidi upo tumboni
Doctor anakufanyia oparesheni anakuta memory imeharibika,anaandika taarifa ya kifo.
 
Hoja Hafifu kabisa..
Mawakala tayari wameaminika na Vyama vyao na sidhani kama kuna uhitaji wa kua na simu kwenye vituo na sidhani kama sheria inaelekeza kufanya hivyo.
kuna utwasikia wakisema ucahuguzi huu lazima tunashinda ukiwauliza mnashindaje bila soni utasikia '' Tutaiba" . Mwizi lake giza na kificho. Mbona chaguzi za ndani za vyama zilionyeshwa mbashara. Iweje uchaguzi uwe siri?
 
Unakasirika kwa kusema ukweli?
 
Kama MTANZANIA ,
 
Wewe uliona wapi hicho kifungu katika kanuni za maadili ya uchaguzi kinachokataza simu au ndo porojo zenyewe?
 
Mbona mwakataza simu kanisani mnakuwa mnaficha nini? Mbona mahakamani, benki, n.k simu zinakatazwa? Tena nilichoona 2015 kituo sinza A, simu hazipaswi kuingizwa kituoni kabisa zinasambaza uongo mwingi. Aidha TCRA wawe madhubuti katika kushughulikia wasambaza uongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…