Taarifa kwa Umma: Ajali ya Treni ya Abiria - Malolo, Tabora

Taarifa kwa Umma: Ajali ya Treni ya Abiria - Malolo, Tabora

Ukabila utakuua mkuu hii tren ipo tangu uhuru. Magu hajaanzisha shirika lolote la usafiri nchini
TRC are busy with shoddy SGR deals leaving the original railway line unattended. Hii TRC ya wasukuma wa Magufuli inabidi iangaliwe upya.
 
Na hii treni ya kamata_ubungo mtengeneze hiyo reli maana maeneo jirani na mwananchi huwa inayumba sana sasa isije siku ikaleta maafa makubwa.

Poleni wote mliofikiwa na janga hili
 
Naona kafara za awamu hii zinafanana na za awamu ya nne bila shaka mganga wao ni mmoja
20220622_145639.jpg
20220622_145542.jpg


huu ni uchakavu wa mabehewa ukiangalia hapo hata chasis ipo bado kwenye reli ila body ndio imeanguka na inaonekana imeoza kabisa.
 
Inna lilahi waina ilaihi rajiun
Poleni familia
 

Poleni Ndugu Jamaa Na Marafiki
IMG-20220622-WA0014.jpg
IMG-20220622-WA0013.jpg
IMG-20220622-WA0012.jpg
IMG-20220622-WA0010.jpg
IMG-20220622-WA0009.jpg

 

Attachments

  • IMG-20220622-WA0007.jpg
    IMG-20220622-WA0007.jpg
    36.3 KB · Views: 4
  • IMG-20220622-WA0011.jpg
    IMG-20220622-WA0011.jpg
    54.3 KB · Views: 5
  • IMG-20220622-WA0008.jpg
    IMG-20220622-WA0008.jpg
    55 KB · Views: 6
  • IMG-20220622-WA0006.jpg
    IMG-20220622-WA0006.jpg
    62.8 KB · Views: 6
"...behewa zilianguka na kusababisha ajali" pole lugha yangu unafinyangwa finyangwa
 
POLENI SANA MAJERUHI,SASA HAPA HIO SGR HAIJAANZA SI TUTAKUA KAMA GHARIKA?
 
Ajali hizi zilikuwa zikitokea sana seme zilikuwa haziripotiwi-Alisikika kamanda mmoja akisema!
 
Back
Top Bottom