Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikiambiwa 'walioondoka' mazima ni 150 / 300 ninaweza Kuwaamini na hata kuwapa Tuzo Tukuka ya Wao kuwa Wawazi.Wanaondoa taharuki...naona
Kuna idadi fulani ikitajwagwa
Watu watastuka
Ila mziki wa jongoo ukitokea nyomi lake si la kitoto
Ova
Hawafiki 700 kweli hao Mkuu? Yaani 'Jongoo' alivyokuwa na Nyumba zake zile Tano sijui Nne aondoke na Njemba Nne tu?Inasemekana eti kuna wengine waliruka ambao hawajulikani mpaka sasa walipo
Thubutu yako.....Yaani Watani zangu Waha ambao ni Washamba ( Mambwiga ) Tanzania nzima Wasafiri Watu Wanne tu?Huenda hilo dude lilikuwa na raia wachache.
Na Wewe unaamini kuwa 'Jongoo' wa Unyamwezini 'Kadondoka' na 'Pipoz' Wanne ( 4 ) tu Mkuu? Nitalibishia haddi Kiama.Inafikirisha kwa kweli
Mkuu una Utani wa 'Jadi' na Waha kama Mimi hapa 'Mzanaki' kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) Kwetu au unawatafuta tu?Lakini kweli... maana kile chumba cha tatu hua wapangaji wako wengi kama ndizi kwenye kichane na viti ndani ya chumba havina mikanda. 4 tu? Mmhhh...
Hua nikienda nyumbani wananiita yego.Mkuu una Utani wa 'Jadi' na Waha kama Mimi hapa 'Mzanaki' kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) Kwetu au unawatafuta tu?
Ile 4× mara kadhaaa mkuuNikiambiwa 'walioondoka' mazima ni 150 / 300 ninaweza Kuwaamini na hata kuwapa Tuzo Tukuka ya Wao kuwa Wawazi.
Wale wanasafirigi nyomiThubutu yako.....Yaani Watani zangu Waha ambao ni Washamba ( Mambwiga ) Tanzania nzima Wasafiri Watu Wanne tu?
I think soSi ndiyo ile ya mstaafu Mwakyembe?