Taarifa kwa Umma: Humphrey Polepole Kufanya Mkutano na Waandishi wa Habari Leo Jumapili Kuanzia Saa 8 Mchana

Taarifa kwa Umma: Humphrey Polepole Kufanya Mkutano na Waandishi wa Habari Leo Jumapili Kuanzia Saa 8 Mchana

Hakuna wa kumuani huyu!

Tunasubiri propaganda nyepesi kutoka kwa huyu mtu!
Mnahangaika kweli.
Huyu mkubwa si kaongea juzi tu hapa? Anahisi hakuweza kufikisha ujumbe vizuri anataka arudie?
CHADEMA wanahubiri Uhuru na haki, iweje hamtaki asiongee? Au uhuru na haki ni kwa ajili yenu tu? Usanii tu na ufukara wa mawazo.

Mnahitaji majibu ya porojo za poyoyo wenu, iweje mnaanza kubwabwaja. Jiandaeni kisaikolojia.
 
Lissu ni mwepesi tu kama mtu anayemsikiliza anao uelewa wa nini anachoongea.

Kama ni wa elimu za kuungaunga lazima umuone supastaa.
 
Kwako Sasa Hivi Mwalimu Kashasha
Ama Kwa Hakika Dakika Zilizobaki Hapa Hazitoshi Hata
.........Kuku Kumeza Punje Moja Ya Mahindi....
Naona Maji Hayashuki....Kooni....Pumzi Imekata..
Tunatumia Feni Kumpepea.....
Mtoto Haimbiwi Nyimbo....Mbaya.....
Mtaongea Na Watu Mpaka Hawatawasikiliza....
 
Anakuja kujibu hoja ya bila mabeberu we are nothing. Tl aliitoa juzi/Jana.

Atawezaje kuijibu Mkuu ,Ukweli unabaki kuwa Ukwel Siku zote.Tunasaidiwa ni kweli hilo lipo wazi /hatuwezi kula Koroeho zetu wenyewe hiyo pia ni kweli.

Hana Majibu labda aje na mambo ya Mabarabara/madaraja/ Ndege kama walivyo zoea.
 
Kampeni zinaendelea, CCM chama changu mmejifungia sijua wapi. Kila siku Polepole anaitisha waandishi wa habari kuwaeleza yaleyale, kwanini tusimkemee na kumfundisha namna ya kutengeneza habari zinazouza? Jambo likirudiwa mara kwa mara kwa njia ileile hata Kama ni zuri linaboa.

Press kila siku hazina tija kwa wapiga kura wala wanachama, tunatamani tukimbie Kama wanavyokimbia wenzetu huku mtaani.

Kampeni za Lisu yupo peke yake bila usaidizi wa Mbowe wala figure kubwa ya chama na anatoboa, sisi tunakwama wapi?

Kwanini tumepoteza mvuto kwa wapiga kura? Kwanini tusitumie mbinu kuwajua wanaotuhujumu na kukaa nao meza moja ya maridhiano kuliko kuwatisha?

Uanachama Ni haki ya mtu, tuwarudie tuliowakata na kuwaomba radhi ili wakasimame majukwaani na sisi. Muda unaotumia kufanya press ungetengeneza maridhiano ndani ya chama na kukubali kwamba ninyi watu wachache amwezi kushinda uchaguzi Wala kuwavutia watu wawachague.

Mlishawatukana Watanzania, mliwaambia wabunge wetu wasiguswe hata wasipofanya chochote na wao wakabweteka kwa sababu tulisema wasiguswe. Tulidhani wanaoumia ni wapinzani kumbe mliwaumiza Watanzania, wabunge wetu walichaguliwa na wananchi na si wapinzani, ombeni radhi kwa kuwadharau wapiga kura.

Achana na press fanyeni Mambo yanayoonekana Kama wenzenu, wao wamesoma wapi Hadi wawe na upeo mkubwa kiasi hiki? Sisi tunakosaje wanamikakati Kama walivyo CHADEMA?
 
Ccm Sioni Popote Ikishindwa!!!
Ina Vyombo, Sinia, Bakuri, Pipa
JW,TISS, POLICE, PCCB, PRISON, FIRE, IMMIGRATION, MADAWA YA KULEVYA


Haa😁😂
Ila Siku Ya Kufa Nyani Miti Yote Huteleza, Maji Utaita Mmaa
 
Ndugu Mtanzania Mzalendo tafadhali mkumbushe & Mtaarifu Mwenzako

Tuna Jambo Letu Leo

•Iko faida ya kuuishi na kuusema ukweli, Na leo nitausema na kuudhihirisha ukweli. Kura zote [emoji736][emoji736][emoji736] kwa Mkweli Namba1 @MagufuliJP•View attachment 1582246

Waandishi wa habari mtusaidiekumuhuliza haya maswali.

1: Kwani nini mgombea wa ccm amewahita wakurugenzi wote Dodoma? Je si kosa kisheria mgombea kuwahita hao wazimamizi wakati huu wa kampeni?

2: Mgombea kutoa pesa au maagizo ya utekelezaji wa miradi mbalimbali kwenye kampeni si rushwa? Na kama si rushwa je hiyo inahitwaje, na je mgombea mwingine akitoa pesa kutekeleza jambo fulani akiwa kwenye kampeni ni sawa?
 
CCM ina kampeni za kisayansi
IMG-20200921-WA0009.jpg
 
Atawezaje kuijibu Mkuu ,Ukweli unabaki kuwa Ukwel Siku zote.Tunasaidiwa ni kweli hilo lipo wazi /hatuwezi kula Koroeho zetu wenyewe hiyo pia ni kweli.

Hana Majibu labda aje na mambo ya Mabarabara/madaraja/ Ndege kama walivyo zoea.
Yasikie kwanza majibu yake mkuu... Utamponda akishaongea.
 
CHADEMA wanahubiri Uhuru na haki, iweje hamtaki asiongee? Au uhuru na haki ni kwa ajili yenu tu? Usanii tu na ufukara wa mawazo.

Mnahitaji majibu ya porojo za poyoyo wenu, iweje mnaanza kubwabwaja. Jiandaeni kisaikolojia.

 
Waandishi wa habari mtusaidiekumuhuliza haya maswali.

1: Kwani nini mgombea wa ccm amewahita wakurugenzi wote Dodoma? Je si kosa kisheria mgombea kuwahita hao wazimamizi wakati huu wa kampeni?

2: Mgombea kutoa pesa au maagizo ya utekelezaji wa miradi mbalimbali kwenye kampeni si rushwa? Na kama si rushwa je hiyo inahitwaje, na je mgombea mwingine akitoa pesa kutekeleza jambo fulani akiwa kwenye kampeni ni sawa?
Kwenye Utawala Wangu Hakuna NEUTRAL
 
Kampeni zinaendelea, CCM chama changu mmejifungia sijua wapi. Kila siku Polepole anaitisha waandishi wa habari kuwaeleza yaleyale, kwanini tusimkemee na kumfundisha namna ya kutengeneza habari zinazouza? Jambo likirudiwa mara kwa mara kwa njia ileile hata Kama ni zuri linaboa.

Press kila siku hazina tija kwa wapiga kura wala wanachama, tunatamani tukimbie Kama wanavyokimbia wenzetu huku mtaani.

Kampeni za Lisu yupo peke yake bila usaidizi wa Mbowe wala figure kubwa ya chama na anatoboa, sisi tunakwama wapi?

Kwanini tumepoteza mvuto kwa wapiga kura? Kwanini tusitumie mbinu kuwajua wanaotuhujumu na kukaa nao meza moja ya maridhiano kuliko kuwatisha?

Uanachama Ni haki ya mtu, tuwarudie tuliowakata na kuwaomba radhi ili wakasimame majukwaani na sisi. Muda unaotumia kufanya press ungetengeneza maridhiano ndani ya chama na kukubali kwamba ninyi watu wachache amwezi kushinda uchaguzi Wala kuwavutia watu wawachague.

Mlishawatukana Watanzania, mliwaambia wabunge wetu wasiguswe hata wasipofanya chochote na wao wakabweteka kwa sababu tulisema wasiguswe. Tulidhani wanaoumia ni wapinzani kumbe mliwaumiza Watanzania, wabunge wetu walichaguliwa na wananchi na si wapinzani, ombeni radhi kwa kuwadharau wapiga kura.

Achana na press fanyeni Mambo yanayoonekana Kama wenzenu, wao wamesoma wapi Hadi wawe na upeo mkubwa kiasi hiki? Sisi tunakosaje wanamikakati Kama walivyo CHADEMA?
Kelele zote hizi ni kwa sababu Polepole ni mwiba mchungu kwenu
 
Back
Top Bottom