Taarifa kwa Umma: Humphrey Polepole Kufanya Mkutano na Waandishi wa Habari Leo Jumapili Kuanzia Saa 8 Mchana

Taarifa kwa Umma: Humphrey Polepole Kufanya Mkutano na Waandishi wa Habari Leo Jumapili Kuanzia Saa 8 Mchana

Tatizo POLE POLE haaminiiki. Mara "Uchaguzi Ukiwa HURU na wa HAKI, CCM wajiandae kukabidhi dola" Hivi POLE POLE uliishatuona WATANZANIA ni MISUKULE eti?
 
Watumishi wote wana hasira na jiwe, wanasema kura ni kwa Lissu tu.
Hadi askari
Kwani jiwe kakosea wapi?
 
Ndugu Mtanzania Mzalendo tafadhali mkumbushe & Mtaarifu Mwenzako

Tuna Jambo Letu Leo

Iko faida ya kuuishi na kuusema ukweli, Na leo nitausema na kuudhihirisha ukweli. Kura zote kwa Mkweli Namba1, Dkt. Magufuli
View attachment 1582246
Nimeisikiliza hiyo taarifa au hotuba ya Humphrey Polepole...very touching indeed....hao waliomuua huyo dogo polisi iwataje haraka ...hata Kama ni watuhumiwa tuwajue...
 
FB_IMG_16012091763415885.jpg
FB_IMG_16012092360140827.jpg
 
Waandishi wa habari mtusaidiekumuhuliza haya maswali.

1: Kwani nini mgombea wa ccm amewahita wakurugenzi wote Dodoma? Je si kosa kisheria mgombea kuwahita hao wazimamizi wakati huu wa kampeni?

2: Mgombea kutoa pesa au maagizo ya utekelezaji wa miradi mbalimbali kwenye kampeni si rushwa? Na kama si rushwa je hiyo inahitwaje, na je mgombea mwingine akitoa pesa kutekeleza jambo fulani akiwa kwenye kampeni ni sawa?
Rekebisha kiswahili ulicho tumia uje tuunge mkono hoja.
Haraka ya nini?
Darasa la saba au shule za kata mbona ziko vzr tu
 
Press conferences za Polepole tu zinawatoa macho hivi. Je, siku akija Mgombea Mwenza Samia itakuwaje!?

Ahaaaa ahaaaa eti akija mgombea mwenza, kwani mgombea mkuu yuko wapi, au yeye hana uwezo wa kujieleza?
 
Back
Top Bottom