Taarifa kwa umma kuhusu uchunguzi wa mabadiliko klabu ya Simba

Taarifa kwa umma kuhusu uchunguzi wa mabadiliko klabu ya Simba

Headcorner

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2020
Posts
205
Reaction score
292
Taarifa hii nimeipata kwenye moja ya magazeti hapa nchini

IMG-20210115-WA0032.jpg
 
Haya wakina mzee Kilomoni na Bi Hindu nafasi zao ndio hizo. Watumie nafasi zao zilizoelekezwa kisheria kupeleka pingamizi zao. Au kama wamesharidhia basi waubariki mchakato. Kila kheri
 
Huyo Kilomoni ana pepo la uharibifu tu, anataka kuirudisha Simba kule ilikotoka, hakuna klabu bingwa Afrika makundi wala kufika robo fainali, Kilomoni anapenda kuona tunatolewa hatua za awali tu kama kawaida.

Hao wazee sasa walee wajukuu zao tu.

Sitegemei kuona hayo mabadiliko yakipingwa na yeyote kwa maslahi mapana ya klabu, hasa wakati huu tukielekea kuliwakilisha taifa kwenye mashindano ya vilabu barani Afrika.

Simba nguvu moja.
 
FCC nao wanajihami ili wawe upande salama. Ni sehemu ya mchakato kama ambavyo ndoa zinatakiwa kutangazwa mara tatu mfululizo katika wiki tatu (siku 21) huko makanisani

MO hajawahi kuwa mtu mwema kwa watanzania, niliungana na Hamis kwenye lile jambo lake na MO sababu ni huyu jamaa;

Amekua mbinafsi sana mwenye kujua kujificha nyuma ya utanzania ambao kwake hauna thamani

Amekua mwajiri asiyejali maslahi ya watumishi wake tena amewanyonya sana watanzania wanaomtumikia

Amekua mchuuzi wa mazao anayewaumiza wakulima maskini

Amekua muwekezaji aliyekabidhiwa ardhi ya nchi hii lakini hakuna manufaa kwa taifa

Sasa amehamia kwa michezo
 
Simba wasipojitafakari huyu Mo atawatumbukiza shimoni..anafanya anavyotaka yeye
 
Simba wasipojitafakari huyu Mo atawatumbukiza shimoni..anafanya anavyotaka yeye

Bilionea MO ameshawahi hadi kuwa mbunge.... lakini sina kumbukumbu ya kitu chochote alichowahi kuwafanyia watanzania kisichompa faida kubwa kwanza kwake binafsi

Kama nakosea Headcorner nikumbushe
 
Bilionea MO ameshawahi hadi kuwa mbunge.... lakini sina kumbukumbu ya kitu chochote alichowahi kuwafanyia watanzania kisichompa faida kubwa kwanza kwake binafsi

Kama nakosea Headcorner nikumbushe

Alikuwa Mbunge kupitia chama gani?
 
Bilioni 20 hajaweka..bado amekuwa akifanya maamuzi kwenye timu bila kuwashirikisha hata wawakilishi wa wanachama..Mo kiukweli ni tapeli tu hii timu aanaipeleka shimoni
 
Wadaawa mpo?

Safari ya janjajanja inakaribia kufika mwisho
 
Bilionea MO ameshawahi hadi kuwa mbunge.... lakini sina kumbukumbu ya kitu chochote alichowahi kuwafanyia watanzania kisichompa faida kubwa kwanza kwake binafsi

Kama nakosea Headcorner nikumbushe
Kila sehemu yupo kimaslahi hata Ubunge aliutafuta kwa ajili ya maslahi yake binafsi na baada ya kukipata alichokipata hakutaka tena kuwa mbunge..
 
Kila sehemu yupo kimaslahi hata Ubunge aliutafuta kwa ajili ya maslahi yake binafsi na baada ya kukipata alichokipata hakutaka tena kuwa mbunge..
Awamu hii vyombo vya serikali vimeota meno makali
Asipofata taratibu atang'atwa tuu hamna namna
 
Kama alikuwa ni Mbunge wa CCM hainishangazi yeye kutofanya chochote kile. Ni kawaida yao.
Wabunge wa vyama vingine waliowahi kutokea wameifanyia nini nchi hii zaidi ya kuwaneemesha Mabeberu na kujineemesha wenyewe nyuma ya mgongo wa upinzani?
 
Back
Top Bottom