Taarifa kwa umma kuhusu uchunguzi wa mabadiliko klabu ya Simba

Taarifa kwa umma kuhusu uchunguzi wa mabadiliko klabu ya Simba

Wabunge wa vyama vingine waliowahi kutokea wameifanyia nini nchi hii zaidi ya kuwaneemesha Mabeberu na kujineemesha wenyewe nyuma ya mgongo wa upinzani?

Kwa hiyo tuhitimishe kwamba wote ni sawa.

BTW: Ukiwa upinzani unawezaje kuwaneemesha mabeberu?

Migodi - mabeberu wamepewa na CCM
Gas Mtwara - mabeberu wamepewa na CCM.
 
Kwa hiyo tuhitimishe kwamba wote ni sawa.

BTW: Ukiwa upinzani unawezaje kuwaneemesha mabeberu?

Migodi - mabeberu wamepewa na CCM
Gas Mtwara - mabeberu wamepewa na CCM.

CCM ya sasa haiwezi kuwa sawa na wapinzani wanaoongozwa na amstadam

Ndio maana imeweza kuvunja mikataba ya hovyo ya madini na gas ambayo chadema wanapiga kelele isivunjwe... Hivi mnakuaga na makazi huko kwa Mabeberu eee!?

Na itavunjwa tuu
 
CCM ya sasa haiwezi kuwa sawa na wapinzani wanaoongozwa na amstadam

Ndio maana imeweza kuvunja mikataba ya hovyo ya madini na gas ambayo chadema wanapiga kelele isivunjwe... Hivi mnakuaga na makazi huko kwa Mabeberu eee!?

Na itavunjwa tuu

Sawa, CCM ya sasa inavunja mikataba ambayo ni chama gani kiliingia?
 
Sawa, CCM ya sasa inavunja mikataba ambayo ni chama gani kiliingia?
Acha kukariri wewe....Chama kimejiimarisha na kumekua chama bora zaidi na chama cha watanzania kwaajili ya watanzania na maslahi yao. Hiyo kariri yenu ya kuishi wakati uliopita kwenye wakati uliopo ndio kiliwafelisha hadi mkapata kura milioni2
 
Acha kukariri wewe....Chama kimejiimarisha na kumekua chama bora zaidi na chama cha watanzania kwaajili ya watanzania na maslahi yao. Hiyo kariri yenu ya kuishi wakati uliopita kwenye wakati uliopo ndio kiliwafelisha hadi mkapata kura milioni2

Nimeuliza CCM Mpya inavunja mikataba ambayo ilisainiwa na chama gani?

Nasubiri jibu mama.
 
MO hajawahi kuwa mtu mwema kwa watanzania, niliungana na Hamis kwenye lile jambo lake na MO sababu ni huyu jamaa;

Amekua mbinafsi sana mwenye kujua kujificha nyuma ya utanzania ambao kwake hauna thamani

Amekua mwajiri asiyejali maslahi ya watumishi wake tena amewanyonya sana watanzania wanaomtumikia

Amekua mchuuzi wa mazao anayewaumiza wakulima maskini

Amekua muwekezaji aliyekabidhiwa ardhi ya nchi hii lakini hakuna manufaa kwa taifa

Sasa amehamia kwa michezo
Huyo jamaa hata sijui niseme nini, nakumbuka kipindi kile akiwa mbunge, huko jimboni kwake ilikuwa aibu, hadi wananchi wengi walikuwa wanaona bora tu kuongozwa na masikini kuliko mnasema mna kiongozi ambaye ni tajiri hata maji tu, madawati, majengo ya shule alikuwa hana muda huo!!yale yale ya yule mwenzake rostam!!kwenye viwanda vyake ni tabu tupu, hao wenzake tu, ni shida sembuse wewe mweusi!!
 
Nimeuliza CCM Mpya inavunja mikataba ambayo ilisainiwa na chama gani?

Nasubiri jibu mama.

Mikataba ilisainiwa na CCM ndio.

Na kwa ufahamu wako hakuna chama imara, chenye nguvu na kitakachokua na maisha marefumrefu kama kile chenye uwezo wa kujitathmini na kukubali kilipokosea pamoja na kuingia gharama kurebisha makosa.

Na usijisahaulishe kwamba wakati CCM wako busy kufanya marekebisho ya hiyo mikataba mibovu nyie mnaojinasibu kuwa na uchungu kwa nchi hii mkiongozwa na amstadam ndio mlikua mnakataa isirekebishwe kwa maslahi ya mabeberu wenu.

Na zaidi ya hapo mkatueleza kabisa waziwazi bila kuficha kwamba mnataka kushika dola ili muwaite na kuja kuwakabidhi madini yawe rehani ili mpewe mapesa
 
Huyo jamaa hata sijui niseme nini, nakumbuka kipindi kile akiwa mbunge, huko jimboni kwake ilikuwa aibu, hadi wananchi wengi walikuwa wanaona bora tu kuongozwa na masikini kuliko mnasema mna kiongozi ambaye ni tajiri hata maji tu, madawati, majengo ya shule alikuwa hana muda huo!!yale yale ya yule mwenzake rostam!!kwenye viwanda vyake ni tabu tupu, hao wenzake tu, ni shida sembuse wewe mweusi!!
Yule ni jambazi msomi
 
Tulisema hapo zamani sana kwamba Mwamedi ni janja janja sana

Sasa mambo yameanza kua ya moto
IMG_20210115_152635.jpg
 
Yaaani we maandazi unawashwa mpaka umeshindwa hata kuandika heading vizuri, endeleeni kusema kuna fukuta hivyo hivyo sisi tutanafuta robo fainal huku.
 
Huyo jamaa hata sijui niseme nini, nakumbuka kipindi kile akiwa mbunge, huko jimboni kwake ilikuwa aibu, hadi wananchi wengi walikuwa wanaona bora tu kuongozwa na masikini kuliko mnasema mna kiongozi ambaye ni tajiri hata maji tu, madawati, majengo ya shule alikuwa hana muda huo!!yale yale ya yule mwenzake rostam!!kwenye viwanda vyake ni tabu tupu, hao wenzake tu, ni shida sembuse wewe mweusi!!
Siasa ina husiana na nini na hili la simba
 
Huyo Kilomoni ana pepo la uharibifu tu, anataka kuirudisha Simba kule ilikotoka, hakuna klabu bingwa Afrika makundi wala kufika robo fainali, Kilomoni anapenda kuona tunatolewa hatua za awali tu kama kawaida.

Hao wazee sasa walee wajukuu zao tu.

Sitegemei kuona hayo mabadiliko yakipingwa na yeyote kwa maslahi mapana ya klabu, hasa wakati huu tukielekea kuliwakilisha taifa kwenye mashindano ya vilabu barani Afrika.

Simba nguvu moja.
Vizee kama hivi kule kwetu Usukumani tunapiga shoka tu havina faida yoyote
 
MO hajawahi kuwa mtu mwema kwa watanzania, niliungana na Hamis kwenye lile jambo lake na MO sababu ni huyu jamaa;

Amekua mbinafsi sana mwenye kujua kujificha nyuma ya utanzania ambao kwake hauna thamani

Amekua mwajiri asiyejali maslahi ya watumishi wake tena amewanyonya sana watanzania wanaomtumikia

Amekua mchuuzi wa mazao anayewaumiza wakulima maskini

Amekua muwekezaji aliyekabidhiwa ardhi ya nchi hii lakini hakuna manufaa kwa taifa

Sasa amehamia kwa michezo
Yote haya yana baraka za CCM aka gambas, kila mtu anajua utajiri wa mzee Ghuram umetoka wapi, unakumbuka kesi ya mchele mbovu, mambo mengine inabidi umsogezee Mungu vinginevyo utapasuka kichwa.
 
Wadaawa wote kimya tuliwaonya Kuhusu huu Wizi ambao Mo anaufanya ndani ya Simba SC na kama FCC wasipokaza Kamba atabadilisha hadi jina la Timu!
 
Huyo jamaa hata sijui niseme nini, nakumbuka kipindi kile akiwa mbunge, huko jimboni kwake ilikuwa aibu, hadi wananchi wengi walikuwa wanaona bora tu kuongozwa na masikini kuliko mnasema mna kiongozi ambaye ni tajiri hata maji tu, madawati, majengo ya shule alikuwa hana muda huo!!yale yale ya yule mwenzake rostam!!kwenye viwanda vyake ni tabu tupu, hao wenzake tu, ni shida sembuse wewe mweusi!!
Anzisha viwanda uwalipe wazawa mishahara mikubwa na minono!! Unakuta hujawahi kumiliki hata kiosk!! kutwa kusema, wewe unaonekana hujui kitu chochote kuhusu biashara nchi hii!! Vitu vyenyewe anavyouza uyo MO ni vya shilingi mia, weka kodi za serikali na taasisi zake, bado interest za mabenki!! Gharama za uendeshaji! Au unafikili kuna sehemu anachota tu!! Anafungua viwanda!! Akili za waswahili tabu tupu!!
 
Yote haya yana baraka za CCM aka gambas, kila mtu anajua utajiri wa mzee Ghuram umetoka wapi, unakumbuka kesi ya mchele mbovu, mambo mengine inabidi umsogezee Mungu vinginevyo utapasuka kichwa.
Nioneshe tajiri yeyote hapa nchini aliepata utajiri kwa kupiga tu uluzi!! unapenda sana habari za matajiri?!! Nenda kaulize kile kiwanda cha Tazara bakhreesa alikipataje?!! Uliza Kisena mmatumbi mwenzenu UDA aliipataje?!! Au uliza hao wakina gharib wa GSM wamefikaje hapo walipo!! Wewe endelea kulala umo kwenye godoro la sufi uku unaachia mashuzi na kitambi chako cha wanga!! Uzaliane watoto wako waje waajiliwe na watoto wa MO! Mjinga wewe unafikili utajiri unaokotwa kama unavyookota hao malaya wako wa sinza..
 
Anzisha viwanda uwalipe wazawa mishahara mikubwa na minono!! Unakuta hujawahi kumiliki hata kiosk!! kutwa kusema, wewe unaonekana hujui kitu chochote kuhusu biashara nchi hii!! Vitu vyenyewe anavyouza uyo MO ni vya shilingi mia, weka kodi za serikali na taasisi zake, bado interest za mabenki!! Gharama za uendeshaji! Au unafikili kuna sehemu anachota tu!! Anafungua viwanda!! Akili za waswahili tabu tupu!!
Acha kukurupuka wewe, shida yenu NYANI FC, akisemwa tu No, tayari akili zinawaruka!!yaani kwa mawazo haya unaonekana bora MTU amseme vibaya mama yako kuliko huyo, mnyonyaji!!kwa hiyo akiuza vitu vya shilingi mia ndio asiwathamini wafanya kazi wake??kwani wenzake kama kina BAKHRESA, mbona angalau wao wana unafuu kidogo, kwani hawalipi kodi??unafikiria no kwanini products nyingi za no hazifanyi vizuri sokoni?!!ukilinganisha na za AZAM?, we we unaacha kutafuta wataalam una karia kuiga iga tu products za watu??!!nenda kwa madreva wake, ukasikie kilio chao, nenda viwandani kwake?!!SASA kuna public notes huko kutoka tume ya ushindani, na wao wameshaona janja janja take, hadi Leo bilioni 20 ziko wapi?!!we we kaa utulie , kwenye mabishano ya mpira ambayo unaaminishwa kuwa kwa simba hii akija barca , madrid, hatoki, na unashangilia, kwa kuwa wameshawaona ndio mnayotaka kuyasikia hayo!!sio simba tu hats yanga no wale wale tu!!huku kwingine kwenye uchumi waachie wenye uwezo was kutafakari!!ETI ANALIPA KODI, SO WHAT?
 
Back
Top Bottom