change formula
JF-Expert Member
- Sep 8, 2020
- 729
- 1,559
Nenda uiwahi kabla haijaingia shimoni!!! Tatizo mawazo ya kijima na ujamaa yamekutawala!! Dunia ya leo ukiona sehemu yenye fursa itumie!! Kumuita muhindi tapeli ni ujuha!!, Na wengi mnaosema hivyo ni wale ambao hamjawahi, kusubutu kufanya jambo lolote la manufaa zaidi ya kupokea kifuta jasho baada ya mzunguko wa siku thelathini!!Bilioni 20 hajaweka..bado amekuwa akifanya maamuzi kwenye timu bila kuwashirikisha hata wawakilishi wa wanachama..Mo kiukweli ni tapeli tu hii timu aanaipeleka shimoni
Wewe utakuwa ni widow au single mama mwenye stress kali Sana!! Hivi dunia ya leo ya kibepari!! Bado unatafuta huruma kwa gia ya utaifa!! Ujiulizi kwa nn serikali (wanasiasa)wanatunga sheria kali kwa mtu asielipa kodi!! Wakati huo huo wenyewe ndio wanapokea pesa nyingi kupitia pesa hizo hizo za kodi na hawalipi kodi hata thumni!!! Ujiulizi viongozi wako wakuu wa Nchi hawalipi hata mia ya kodi!!na bado mnawa hudumia kwa kuwanunulia kila kitu!! Ndugu dunia hii ni ya ubepali inaamuliwa kwa nguvu ya soko!! Usiwe na mawazo ya kijima!! Tafuta pesa tafuta fursa itumie acha upumbavu!! Somebody mutahaba, alipokuwa ana wahubiri mgeuze changamoto kuwa fursa hamkuelewa!! Vilabu hivi vya Simbasc na utopolo sc, vilikuwa vipo tu havina mwenyewe, wahindi na waarabu wamechungulia wameona kuna fursa hapa wanaitumia nyie mnabaki na kelele na roho zenu za kichawi!!MO hajawahi kuwa mtu mwema kwa watanzania, niliungana na Hamis kwenye lile jambo lake na MO sababu ni huyu jamaa;
Amekua mbinafsi sana mwenye kujua kujificha nyuma ya utanzania ambao kwake hauna thamani
Amekua mwajiri asiyejali maslahi ya watumishi wake tena amewanyonya sana watanzania wanaomtumikia
Amekua mchuuzi wa mazao anayewaumiza wakulima maskini
Amekua muwekezaji aliyekabidhiwa ardhi ya nchi hii lakini hakuna manufaa kwa taifa
Sasa amehamia kwa michezo
Una unaonekana mtupu kichwani!! Ujui ilo takwa ni la kisheria lazima tangazo liwekwe public ili watu kama mapingamizi wapeleke pamoja na evidence supports!! Ngumbaru wewe!! Kama bidhaa za MO hazifanyi vizuri sokoni!! Soko lipi ilo!! la kwako na mume wako chumbani!! Kama unaona MO halipi vizuri amia kwa bakhreesa!!Au kalime bamia uko mbutu kwa yericko nyerere!! Inaonekana umeshazunguka mno kwenye viwanda vya wahindi!!!Acha kukurupuka wewe, shida yenu NYANI FC, akisemwa tu No, tayari akili zinawaruka!!yaani kwa mawazo haya unaonekana bora MTU amseme vibaya mama yako kuliko huyo, mnyonyaji!!kwa hiyo akiuza vitu vya shilingi mia ndio asiwathamini wafanya kazi wake??kwani wenzake kama kina BAKHRESA, mbona angalau wao wana unafuu kidogo, kwani hawalipi kodi??unafikiria no kwanini products nyingi za no hazifanyi vizuri sokoni?!!ukilinganisha na za AZAM?, we we unaacha kutafuta wataalam una karia kuiga iga tu products za watu??!!nenda kwa madreva wake, ukasikie kilio chao, nenda viwandani kwake?!!SASA kuna public notes huko kutoka tume ya ushindani, na wao wameshaona janja janja take, hadi Leo bilioni 20 ziko wapi?!!we we kaa utulie , kwenye mabishano ya mpira ambayo unaaminishwa kuwa kwa simba hii akija barca , madrid, hatoki, na unashangilia, kwa kuwa wameshawaona ndio mnayotaka kuyasikia hayo!!sio simba tu hats yanga no wale wale tu!!huku kwingine kwenye uchumi waachie wenye uwezo was kutafakari!!ETI ANALIPA KODI, SO WHAT?
Wewe utakuwa ni widow au single mama mwenye stress kali Sana!! Hivi dunia ya leo ya kibepari!! Bado unatafuta huruma kwa gia ya utaifa!! Ujiulizi kwa nn serikali (wanasiasa)wanatunga sheria kali kwa mtu asielipa kodi!! Wakati huo huo wenyewe ndio wanapokea pesa nyingi kupitia pesa hizo hizo za kodi na hawalipi kodi hata thumni!!! Ujiulizi viongozi wako wakuu wa Nchi hawalipi hata mia ya kodi!!na bado mnawa hudumia kwa kuwanunulia kila kitu!! Ndugu dunia hii ni ya ubepali inaamuliwa kwa nguvu ya soko!! Usiwe na mawazo ya kijima!! Tafuta pesa tafuta fursa itumie acha upumbavu!! Somebody mutahaba, alipokuwa ana wahubiri mgeuze changamoto kuwa fursa hamkuelewa!! Vilabu hivi vya Simbasc na utopolo sc, vilikuwa vipo tu havina mwenyewe, wahindi na waarabu wamechungulia wameona kuna fursa hapa wanaitumia nyie mnabaki na kelele na roho zenu za kichawi!!
Wewe ni jambazi lofa!! Unawaibia wanao kuja kukununua hapo sinza,!!!!
Shimoni ndio kutinga makundi Klabu Bingwa Afrika, au kufika robo fainali Klabu Bingwa Afrika?! nyie waswahili mna matatizo sana.Bilioni 20 hajaweka..bado amekuwa akifanya maamuzi kwenye timu bila kuwashirikisha hata wawakilishi wa wanachama..Mo kiukweli ni tapeli tu hii timu aanaipeleka shimoni
Unachanganya siasa na michezo, mambo ya siasa weka huko pembeni ndio maana MO sasa sio mbunge tena, kumuhukumu kwa hayo ni ujinga, mambo ya ajira kwenye viwanda vyake hakuna alielazimishwa kwenda wameenda wenyewe, hata serikali yako unayoipigia makofi kila siku haijapandisha watu mishahara mwaka wa tano huu.MO hajawahi kuwa mtu mwema kwa watanzania, niliungana na Hamis kwenye lile jambo lake na MO sababu ni huyu jamaa;
Amekua mbinafsi sana mwenye kujua kujificha nyuma ya utanzania ambao kwake hauna thamani
Amekua mwajiri asiyejali maslahi ya watumishi wake tena amewanyonya sana watanzania wanaomtumikia
Amekua mchuuzi wa mazao anayewaumiza wakulima maskini
Amekua muwekezaji aliyekabidhiwa ardhi ya nchi hii lakini hakuna manufaa kwa taifa
Sasa amehamia kwa michezo
Sijachanganya chochote, nimeandika kuhusu MO kama MOUnachanganya siasa na michezo, mambo ya siasa weka huko pembeni ndio maana MO sasa sio mbunge tena, kumuhukumu kwa hayo ni ujinga, mambo ya ajira kwenye viwanda vyake hakuna alielazimishwa kwenda wameenda wenyewe, hata serikali yako unayoipigia makofi kila siku haijapandisha watu mishahara mwaka wa tano huu.
MO ujio wake Simba FC umeipeleka Simba robo fainali Klabu Bingwa Afrika, now Simba ipo hatua ya makundi Klabu Bingwa Afrika, anawalipa mishahara wale wachezaji ambayo hawakuwahi kuota kulipwa, Simba inasajili mchezaji yeyote itakayomtaka hakuna wakushindana nao hapa ndani, na Simba ndio bingwa mara mfululizo wa ligi kuu Bara.
Kwa hayo hapo juu kusema ulikuwa upande wa huyo mzee Kilomoni nawaona nyie wote ni wachawi tu, mnataka kuiporomosha Simba ndio mfurahi, hakika mtashindwa.
Mimi nashauri afirisiwe mali yote...MO hajawahi kuwa mtu mwema kwa watanzania, niliungana na Hamis kwenye lile jambo lake na MO sababu ni huyu jamaa;
Amekua mbinafsi sana mwenye kujua kujificha nyuma ya utanzania ambao kwake hauna thamani
Amekua mwajiri asiyejali maslahi ya watumishi wake tena amewanyonya sana watanzania wanaomtumikia
Amekua mchuuzi wa mazao anayewaumiza wakulima maskini
Amekua muwekezaji aliyekabidhiwa ardhi ya nchi hii lakini hakuna manufaa kwa taifa
Sasa amehamia kwa michezo
Elungata Wewe utakua unamjua huyu jamaa vizuri.Mimi nashauri afirisiwe mali yote...
Wacha kulia lia, kama una ushahidi wa chochote alichofanya bila kufuata sheria nenda mahakamani, sio unamchafua huku kwa tuhuma usizo na ushahidi nazo, always talk is cheap.Sijachanganya chochote, nimeandika kuhusu MO kama MO
Kufirisi ndio nini?!Mimi nashauri afirisiwe mali yote...
Kutaifisha..Kufirisi ndio nini?!
Wacha kulia lia, kama una ushahidi wa chochote alichofanya bila kufuata sheria nenda mahakamani, sio unamchafua huku kwa tuhuma usizo na ushahidi nazo, always talk is cheap.
Kuna MO wa siasa, MO wa Simba, na MO muajiri, kama hujui kutofautisha hivyo bora ukae kimya.
Kwahiyo unalia lia MO anavunja sheria lakini ushahidi huna, unasubiri wengine wakupelekee....hahahaaa huu ndio uchawi wenyewe sasa.Kati yangu na wewe nani analialia hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ushahidi utakosekanaje sasa, unaweza vunja sheria kwa muda lakini itakuja siku ya kuwajibika tuu
FCC wameanza mengine yatafuata
Evidence supports!!!ndio neno pekee nililolielewa!!licha ya ungumbalu wangu, yaani ni ajabu kweli siku moja nilikusemea kuhusu mama yako, hukutoa povu kama hili ambalo unalitoa kwa KANJIBAI!!Una unaonekana mtupu kichwani!! Ujui ilo takwa ni la kisheria lazima tangazo liwekwe public ili watu kama mapingamizi wapeleke pamoja na evidence supports!! Ngumbaru wewe!! Kama bidhaa za MO hazifanyi vizuri sokoni!! Soko lipi ilo!! la kwako na mume wako chumbani!! Kama unaona MO halipi vizuri amia kwa bakhreesa!!Au kalime bamia uko mbutu kwa yericko nyerere!! Inaonekana umeshazunguka mno kwenye viwanda vya wahindi!!!