Taarifa kwa umma kuhusu uchunguzi wa mabadiliko klabu ya Simba

Waache kazi basi waone kontena zinazimwgwa na chuo zitakavyoapply.......nilitangaza kinafsi fulani cha kazi nilipabga nilipe mshahara 250K nilipoona nyomi la intervew nikabdili mshahara 150K
 
Acheni kuwa na vijiba vya roho,hata Kama mnamchukia nyie [emoji196][emoji196][emoji196] Mo,ni wapi mlimpata mchezaji Kipanya Malapa nyie Utopolo a.k.a [emoji196][emoji196][emoji196][emoji205][emoji205][emoji205][emoji240][emoji240][emoji240]?ni wananchi wa Jimbo gani walimwaga machozi hadharani kumtaka mbunge wao aendeleeee na ubunge?baada ya kufanyiwa figisufigisu ndani ya chama naye akaamua kujiuzuru?
 
Tatizo la bongo, kumejaa mashabiki wa mpira na sio wapenzi, yaani ukiikosoa simba basi wewe ni yanga, ukiikosoa yanga wewe ni simba, fikra za kipuuzi!!alikuwa mbunge kwa miaka mingapi?watu wanauliza hizo bilioni 20, ziko wapi?FCC, mbona wameweka mambo yote hadharani?kwenye huo uwekezaji kuna ujanja ujanja mwingi sana, ni suala la muda tu!!wakati ule FCC, hawajasema chochote alikuwa akisema wao ndio wana kwamisha mchakato, lakini toka kipindi kile, waanze kutoa taarifa umeshawahi kumsikia anasrma chochote tena?!!
 
CCM ya sasa haiwezi kuwa sawa na wapinzani wanaoongozwa na amstadam

Ndio maana imeweza kuvunja mikataba ya hovyo ya madini na gas ambayo chadema wanapiga kelele isivunjwe... Hivi mnakuaga na makazi huko kwa Mabeberu eee!?

Na itavunjwa tuu
Wewe hujitambui hata kidogo, waliuza hii nchi ni CCM. Nakushangaa unakomaa na MO wakati wenzako waligawana pesa kwa mifuko ya sandarusi
 
Wewe hujitambui hata kidogo, waliuza hii nchi ni CCM. Nakushangaa unakomaa na MO wakati wenzako waligawana pesa kwa mifuko ya sandarusi
Wewe ungekua unajitambua usingempigia kura fisadi aliyetumbuliwa na CCM awe rais wako kule chadema.....
Tulia weweee maana hujielewi mwanzo mwisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…