Taarifa kwa umma: Ufafanuzi wa taarifa iliyosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kamera 40 kufungwa Kariakoo kwa Tsh milioni 514

Mwenye huo uzi wa Awali apost hapa tafadhali

Kasome majitu majinga yalivyokuwa yanatetea
 
Nikweli umechoandika Je kwenye ufungaji wa camera kaliakoo, civil work gani zinahitajika?.
Mostly ni trenching kwaajili ya kupitisha Fiber Cables kwenda Control Room au kwenye server ila we all know vibarua wakuchimba wakiambulia hela nyingi ni 20k or less a day.
 
Lakini kazunguka kwote karudi palepale kwama gharama za mradi ni million 500 na ushee Kwa kamera 40
 
Yote yaleyale tu sema nyie mmeongeza vikorombwezo sjui vya civil works, sjui control room, manunuzi,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…