Toughlendon
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 498
- 724
Mwenye huo uzi wa Awali apost hapa tafadhali
Kamera za ulinzi kufungwa Kariakoo kwa gharama ya Tsh Milioni 514
Katika kuhakikisha biashara zinafanyika saa 24, Jiji la Dar es Salaam limeingia mkataba na Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) unaogharimu jumla ya shilingi milioni 514 wa usimikaji wa mifumo ya kamera za ulinzi katika barabara na maeneo ya Kariakoo ambapo jumla ya kamera 40...
Kasome majitu majinga yalivyokuwa yanatetea