Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Sasa umeambiwa pesa zimetoka serikalini?
Miradi iko financed na FIFA
Sio kweli.Chadema wakisikia ujenzi wanakimbia ku comment sababu wao haeana mradi wowote wa unenzi wa ofisi ya makao makuu
Juhudi za raisi wetu mpendwa KariaHongera kwa Serikali ya awamu ya Tano kwa kuthamini na kuwezesha kuwa na mazingira mazuri ya michezo....
Ujenzi mwingi sana umefanyika hapo kabla kimyakimya lakini awamu hii kila ujenzi unaletwa mtandaoni ili warahisishe upigaji.Hongera kwa Serikali ya awamu ya Tano kwa kuthamini na kuwezesha kuwa na mazingira mazuri ya michezo
Ujenzi huo unasimamiwa na Shirikisho la Soka Nchini Tanzania ( TFF) maeneo ya Kigamboni Jijini Dar es salaam
Hii ni habari njema kabisa..hongera serikali sikivuHongera kwa Serikali ya awamu ya Tano kwa kuthamini na kuwezesha kuwa na mazingira mazuri ya michezo
Ujenzi huo unasimamiwa na Shirikisho la Soka Nchini Tanzania ( TFF) maeneo ya Kigamboni Jijini Dar es salaam
Mazingira wezeshi yamewekwa na Serikali ya MagufuliSasa umeambiwa pesa zimetoka serikalini?
Miradi iko financed na FIFA
Ni wajibu wa Serikali kueleza kwa ufasaha yale yanayofanywa ili kuepusha upotoshaji wa wale wasioitakia mema nchi yetuUjenzi mwingi sana umefanyika hapo kabla kimyakimya lakini awamu hii kila ujenzi unaletwa mtandaoni ili warahisishe upigaji.
PLO Lumumba amewai sema ,, ukiona unatumia muda mrefu kujielezea kuhusu uliyoyafanya ujue wewe haujafanya kitu, waliofanya vitu wanakaa kimya halafu vitu vilivyofanyika vinakuelezea vyenyewe.
Ni mengi mazuri yamefanyika na yataendelea kufanywa na Serikali ya awamu ya 5Hii ni habari njema kabisa..hongera serikali sikivu
Kelele nyingi za kuku kumbe anaenda kutaga kayai kamoja.Ni wajibu wa Serikali kueleza kwa ufasaha yale yanayofanywa ili kuepusha upotoshaji wa wale wasioitakia mema nchi yetu
Huwezi kaa kimya wakati watu wanatoa taarifa potofu!
Hongera kwa Serikali ya awamu ya Tano inayoongozwa na Mzalendo nambari moja Dkt John Pombe Magufuli kwa kuthamini na kuwezesha kuwa na mazingira mazuri ya michezo
Ujenzi huo unasimamiwa na Shirikisho la Soka Nchini Tanzania ( TFF) maeneo ya Kigamboni Jijini Dar es salaam
Kamuulizeni Malinzi alikuwa anapeleka wapi fedha za FIFA? Kajenga kiwanja cha golf kwao !!!Zamani hazikuletwa pesa hizo
Aisee bangi za wapi hizo zinakupeleka kusifu ovyo ovyo namna hiyo?Hongera kwa Serikali ya awamu ya Tano inayoongozwa na Mzalendo nambari moja Dkt John Pombe Magufuli kwa kuthamini na kuwezesha kuwa na mazingira mazuri ya michezo
Ujenzi huo unasimamiwa na Shirikisho la Soka Nchini Tanzania ( TFF) maeneo ya Kigamboni Jijini Dar es salaam
Hii uliyotoa ni taarifa sahihi? Magufuli kaingiaje kwenye miradi ya FIFA?Ni wajibu wa Serikali kueleza kwa ufasaha yale yanayofanywa ili kuepusha upotoshaji wa wale wasioitakia mema nchi yetu
Huwezi kaa kimya wakati watu wanatoa taarifa potofu!
Sio kweli.
Mbona kunamtu juzi kapita Ufipa kaona wanaingiza ndani makopo ya rangi mawili?
Samahan wakuu, Chadema wamewakosea nini.??Chadema wakisikia ujenzi wanakimbia ku comment sababu wao haeana mradi wowote wa unenzi wa ofisi ya makao makuu
Miradi ya FIFA inayotekelezwa kikamilifu kwenye mazingira wezeshi, sera nzuri za michezo bila kusahau amani iliyotamalakiHii uliyotoa ni taarifa sahihi? Magufuli kaingiaje kwenye miradi ya FIFA?
Umekosea Wabunge wa Chadema wapo Bungeni, wale wa kuchaguliwa Majimboni & Viti MaalumuSamahan wakuu, Chadema wamewakosea nini.??
Mbona sahiv mmewaziba midomo, mmewaondoa wote bungeni, hamruhusu habari zao kutangazwa kwenye vyombo vya habari lakini bado hamkauki kuwasema...
Mbona mmesema upinzani umekufa, sasa kwanini mnapenda kuwaongelea..