FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Zamani pesa za FIFA zilikuwa zinafanya nini, au hazikuwa zikiletwa?Sasa umeambiwa pesa zimetoka serikalini?
Miradi iko financed na FIFA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zamani pesa za FIFA zilikuwa zinafanya nini, au hazikuwa zikiletwa?Sasa umeambiwa pesa zimetoka serikalini?
Miradi iko financed na FIFA
Ukitaka kujua hilo nenda kafanye secondary data gathering...... FIFA haijihusishi na siasa na ukithubutu kukata Hata mia ile unakula ban ya mileleZamani pesa za FIFA zilikuwa zinafanya nini, au hazikuwa zikiletwa?
Mazingira wezeshi ni nini ?Mazingira wezeshi yamewekwa na Serikali ya Magufuli
Zamani chini ya utawala wa TLP ?Zamani hazikuletwa pesa hizo
Inakuuma sanaChadema wakisikia ujenzi wanakimbia ku comment sababu wao haeana mradi wowote wa unenzi wa ofisi ya makao makuu
Ndio tunauliza sasa, zilikuwa zinaenda wapi?Ukitaka kujua hilo nenda kafanye secondary data gathering...... FIFA haijihusishi na siasa na ukithubutu kukata Hata mia ile unakula ban ya milele
Uwanja kama huu pia,umeshaanza kujengwa jijini Tanga,kazi imeshaanza ya ujenzi.Hongera kwa Serikali ya awamu ya Tano inayoongozwa na Mzalendo nambari moja Dkt John Pombe Magufuli kwa kuthamini na kuwezesha kuwa na mazingira mazuri ya michezo
Ujenzi huo unasimamiwa na Shirikisho la Soka Nchini Tanzania ( TFF) maeneo ya Kigamboni Jijini Dar es salaam
Daaah! Uwanja wa mkapa umejengwa kipindi cha magu, jmk park imejengwa kipindi cha mi5 again?Mazingira wezeshi yamewekwa na Serikali ya Magufuli
Mimi sio mwanasiasa kaka. Kwanza hiyo project ya hapo juu haijengwi tu Kigamboni inajengwa Tanga as well.Ndio tunauliza sasa, zilikuwa zinaenda wapi?
Kumbe miaka ya nyuma FIFA walikuwa hawatoi fedha sio?Mimi sio mwanasiasa kaka. Kwanza hiyo project ya hapo juu haijengwi tu Kigamboni inajengwa Tanga as well.
Pili hizi fedha za Fifa kwa ajili ya kuendeleza michezo kwa kuanzisha vituo vya kulea na kukuza vipaji nimeanza kusikia miezi kadhaa nyuma na hazijatolewa Tanzania tu zimetolewa kwenda kwenye many developing country in Africa.
Sio serikali ya Tanzania iliyoomba fedha hizo Fifa, ni maoni ya watu wa FIFA Katika kukuza soka la dunia ya tatu wakaamua kufinance hii miradi.
Serikali inayotoa ajira moja moja kwenye halmashauri na taasisi zake haina uwezo wa kufanya lolote, hiyo ni failure government.
Sifa za kijingaHongera kwa Serikali ya awamu ya Tano inayoongozwa na Mzalendo nambari moja Dkt John Pombe Magufuli kwa kuthamini na kuwezesha kuwa na mazingira mazuri ya michezo
Ujenzi huo unasimamiwa na Shirikisho la Soka Nchini Tanzania ( TFF) maeneo ya Kigamboni Jijini Dar es Salaam.
View attachment 1698368View attachment 1698369View attachment 1698370View attachment 1698371
FIFA wana program zao na project zao ili wakuze soka duniani na sio lazima projects zao kutufikia sisi toka 1970s huko...... Maybe now is our turn projects za Fifa kuwa initiated kwetu ila ni upuuzi kupotosha et serikali ya awamu yenu hii ndio imefanikisha hilo. Project zimefanyika nyingi mbona just pekua utazipata.Kumbe miaka ya nyuma FIFA walikuwa hawatoi fedha sio?
Okay, kumbe zamu yetu ya kupewa pesa za FIFA ndio hii ya mara kwanza, tangu 1970’s, duuFIFA wana program zao na project zao ili wakuze soka duniani na sio lazima projects zao kutufikia sisi toka 1970s huko...... Maybe now is our turn projects za Fifa kuwa initiated kwetu ila ni upuuzi kupotosha et serikali ya awamu yenu hii ndio imefanikisha hilo. Project zimefanyika nyingi mbona just pekua utazipata.