Taarifa Leo nimaabudu kwenye Kanisa la Wasabato Mwenge, nitaendelea kukosoa panapoenda mrama, nitaunga mkono palipo vema, lengo kuweka mambo sawa

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
UPDATES:

Huduma ya kuwaombea Wajane Wagane na WaleaPweke inaendelea kufanyika muda huu


Wadau hamjamboni nyote?

Siku ya leo ambayo ni sabato takatifu kwa mujibu wa maandiko nimeamua kuabudu kwenye Kanisa la Wasabato hapa Mwenge Dar es Salaam.

Pamoja na kukosoa mara kadhaa baadhi ya " Itikadi" za kisabato zinazoenda kinyume na maandiko lakini nitasalia kuwa Muumini mtiifu wa Kanisa la Waadvetista Wasabato.

Lengo langu sio uasi ila naweka sawa pale palipokaa vibaya huku lengo na tukiwa na tumaini kuu ni kukutana na Bwana wetu Yesu Kristo siku atakaporejea na Jeshi kubwa la malaika.

Muwe na siku njema wapendwa.
 
Hatua ya kwanza ni kuomba nafasi ya uongozi hapo kanisani upambane hadi ufike juu kwenye maamuzi ndo utaelewa kwanini mambo yapo kama yalivyo.

Angalizo, wanaharakati wengi wakifika hatua za kushika nafasi za maamuzi huwa hawafanyi tena waliyokuwa wanayapigania.
 
Umemwambia mch wako hayaa else n unafiki kawambieehaya
 
Huwezi weka mambo sawa kwa ni wewe ni nani.


Ukute hata sonzo la sadaka huruhusiwi kulisogelea nani atasikiliza mawazo yako.
 
Makambi huko kwenu mshamaliza? Nasikia yanachochea ngono kama nini!!
 
Muhimu ni kujua wanaoongoza kanisa au mafundisho ni binadamu kama wewe na wengine wamekengeuka uwa wanaingiza mambo yao wenyewe na kujifanya kuwa na misimamo mikali sana jambo la muhimu chukua lililo njema na achana na kile kisicho faa
 
Umeenda kusali au kutafuta makosa? Fungua kanisa lako perfect kama manabii na mitume wa siku hizi..
NB usabato sio ukristo
 
Huwa unakosoa Kwa Mujibu wako wenyewe na kichwa chako?.

Au Kwa Mujibu wa Biblia ,maandiko matakatifu?
 
Ilitoka tamko moja tu chap...ndan ya ......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…