Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
ulikuwa mzee wa kanisa temeke au mwenge?Bila shaka tuliwahi onana hapo, nilikuwa Mzee wa kanisa 1995-2001, nikahamishiwa Mbeya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ulikuwa mzee wa kanisa temeke au mwenge?Bila shaka tuliwahi onana hapo, nilikuwa Mzee wa kanisa 1995-2001, nikahamishiwa Mbeya.
wasabato tunacheza na biblia tu, hivo hata uwe askofu huwezi kutubadilishia kituNi sawa boss ila muumini wa kawaida hana nguvu ya kubadili sheria na taratibu, ataishia kutoa maoni tu unless aweze kushinikiza waumini wote wamuunge mkono huku akiomba asionekane muasi.
Mwengeulikuwa mzee wa kanisa temeke au mwenge?
UPDATES:
Huduma ya kuwaombea Wajane Wagane na WaleaPweke inaendelea kufanyika muda huu
Wadau hamjamboni nyote?
Siku ya leo ambayo ni sabato takatifu kwa mujibu wa maandiko nimeamua kuabudu kwenye Kanisa la Wasabato hapa Mwenge Dar es Salaam.
Pamoja na kukosoa mara kadhaa baadhi ya " Itikadi" za kisabato zinazoenda kinyume na maandiko lakini nitasalia kuwa Muumini mtiifu wa Kanisa la Waadvetista Wasabato.
Lengo langu sio uasi ila naweka sawa pale palipokaa vibaya huku lengo na tukiwa na tumaini kuu ni kukutana na Bwana wetu Yesu Kristo siku atakaporejea na Jeshi kubwa la malaika.
Muwe na siku njema wapendwa.
namkumbuka mmoja alikuwaga anafundisha IFMMwenge
Kumbe mzeeBila shaka tuliwahi onana hapo, nilikuwa Mzee wa kanisa 1995-2001, nikahamishiwa Mbeya.
Hahahaha! Dah! Maisha yanaenda kasi, siku zinakimbia, miti inaanguka.namkumbuka mmoja alikuwaga anafundisha IFM
na kigogo mmoja wa BOT
nA MZEE Muso
Ndio binti angu, sio kila mtu ni mtoto humu, wengine tunakula pension taratibu behind the keyboardKumbe mzee
Usisahau kuniachia urithiNdio binti angu, sio kila mtu ni mtoto humu, wengine tunakula pension taratibu behind the keyboard

Kama unataka mali, utaipata shambaniUsisahau kuniachia urithi![]()
Madini nayo ni shambani?Kama unataka mali, utaipata shambani
Mwalimu Nyerere alisema "silaha ya Mtanzania ni jembe na nyundo, sio mapesa"Madini nayo ni shambani?
kumbukumbu zinakuja mkuuHahahaha! Dah! Maisha yanaenda kasi, siku zinakimbia, miti inaanguka.
Bila shaka tunafahamiana vizurikumbukumbu zinakuja mkuu
kulikuwa na yule mzee Mtani alikuwa mjeshi