Taarifa Leo nimaabudu kwenye Kanisa la Wasabato Mwenge, nitaendelea kukosoa panapoenda mrama, nitaunga mkono palipo vema, lengo kuweka mambo sawa

Taarifa Leo nimaabudu kwenye Kanisa la Wasabato Mwenge, nitaendelea kukosoa panapoenda mrama, nitaunga mkono palipo vema, lengo kuweka mambo sawa

Ni sawa boss ila muumini wa kawaida hana nguvu ya kubadili sheria na taratibu, ataishia kutoa maoni tu unless aweze kushinikiza waumini wote wamuunge mkono huku akiomba asionekane muasi.
wasabato tunacheza na biblia tu, hivo hata uwe askofu huwezi kutubadilishia kitu
watu wote ni wajuaji kama generation Z wa kenya
hatujafundishwa kumnyenyekea mtu kwa cheo chake bali kwa uelewa wa maandiko
 
UPDATES:

Huduma ya kuwaombea Wajane Wagane na WaleaPweke inaendelea kufanyika muda huu


Wadau hamjamboni nyote?

Siku ya leo ambayo ni sabato takatifu kwa mujibu wa maandiko nimeamua kuabudu kwenye Kanisa la Wasabato hapa Mwenge Dar es Salaam.

Pamoja na kukosoa mara kadhaa baadhi ya " Itikadi" za kisabato zinazoenda kinyume na maandiko lakini nitasalia kuwa Muumini mtiifu wa Kanisa la Waadvetista Wasabato.

Lengo langu sio uasi ila naweka sawa pale palipokaa vibaya huku lengo na tukiwa na tumaini kuu ni kukutana na Bwana wetu Yesu Kristo siku atakaporejea na Jeshi kubwa la malaika.

Muwe na siku njema wapendwa.

Si ungekutana na balaza la walei ili uwashuri hilo? Huku ni kana kwamba unapoteza muda tu. Hakuna anayejali.
 
Back
Top Bottom