Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waumini wengine ujuaji mwingi 😁Umeenda kusali au kutafuta makosa? Fungua kanisa lako perfect kama manabii na mitume wa siku hizi..
NB usabato sio ukristo
Makanisa mengine bwana, unaruhusiwa ku-chat ukiwa Kanisani?Wadau hamjamboni nyote?
Siku ya leo ambayo ni sabato takatifu kwa mujibu wa maandiko nimeamua kuabudu kwenye Kanisa la Wasabato hapa mwenge dar es salaam
Pamoja na kukosoa mara kadhaa baadhi ya " Itikadi" za kisabato zinazoenda kinyume na maandiko lakini nitasalia kuwa Muumini mtiifu wa Kanisa la Waadvetista Wasabato
Lengo langu sio uasi ila naweka sawa pale palipokaa vibaya huku lengo na tukiwa na tumaini kuu ni kukutana na Bwana wetu Yesu Kristo siku atakaporejea na Jeshi kubwa la malaika
Muwe na siku njema wapendwa
😂😂😂😂😂😂Walipelekwa seh
Eeeeeh walipelekwwa sehemu mkuuu nahisi walipotokaa na dini walihiamaa
Hawana maana wale....
Aksante Mkuu ndiyo tunamaliza Ibada hakika nimebarikiwaKila la kheri mkuu
1997 hadi 1998 nilsali sana hapo
baadae nikahamia temeke SDA sababu walikuwa wanajali sana muda wa kumaliza ibada pia wana a very classic choir
Shukrani sanaNasali Tegeta leo, karibuni wadau
Nimekuja kusali na Ibada ndiyo imeisha muda nimepokea mibaraka ya nguvu kubwaUmeenda kusali au kutafuta makosa? Fungua kanisa lako perfect kama manabii na mitume wa siku hizi..
NB usabato sio ukristo
Kwa mujibu wa biblia MkuuHuwa unakosoa Kwa Mujibu wako wenyewe na kichwa chako?.
Au Kwa Mujibu wa Biblia ,maandiko matakatifu?
Wale hawajiekewi wamesoma maandiko ila bado wapo gizaniVizuri ila tungependa kufahamu, wale Sabato Masalia waliotakaga kwenda ughaibuni kutangaza Injili pasipo kuwa na Passport wala VISA, wapo wapi??
Aksante Kwa ushauri ila nilikuwa natoa tu taarifaIbada hata haijaanza ila unakosoa.
Sali kwanza ndio uje kukosoa
Nilituma andiko kabla ya Ibada ndiyo maana sikuweza kujibuMakanisa mengine bwana, unaruhusiwa ku-chat ukiwa Kanisani?
Mkuu Mimi nimeridhika na kuwa Muumini wa kawaidaHatua ya kwanza ni kuomba nafasi ya uongozi hapo kanisani upambane hadi ufike juu kwenye maamuzi ndo utaelewa kwanini mambo yapo kama yalivyo.
Angalizo, wanaharakati wengi wakifika hatua za kushika nafasi za maamuzi huwa hawafanyi tena waliyokuwa wanayapigania.
Ni sawa boss ila muumini wa kawaida hana nguvu ya kubadili sheria na taratibu, ataishia kutoa maoni tu unless aweze kushinikiza waumini wote wamuunge mkono huku akiomba asionekane muasi.Mkuu Mimi nimeridhika na kuwa Muumini wa kawaida
Bila shaka tuliwahi onana hapo, nilikuwa Mzee wa kanisa 1995-2001, nikahamishiwa Mbeya.Kila la kheri mkuu
1997 hadi 1998 nilsali sana hapo
baadae nikahamia temeke SDA sababu walikuwa wanajali sana muda wa kumaliza ibada pia wana a very classic choir