Taarifa maalumu, 'operation' imesitishwa, nuru imeonekana na 'the State' wamesema apewe muda

Taarifa maalumu, 'operation' imesitishwa, nuru imeonekana na 'the State' wamesema apewe muda

Kwamba kama na yeye akienda kinyume atatangulizwa kuzimu !?


Hivi mkuu waweza kutupa sababu kama 2 au 3 zilizopelekea deep state imuondoe mzee wa chato !?
Hawezi kukujibu alijiandikia tu,

Doesn't make sense wabunge waondolewe bungeni uchaguzi ufanyike upya, katiba haisemi hivyo.
 
Kwamba kama na yeye akienda kinyume atatangulizwa kuzimu !?


Hivi mkuu waweza kutupa sababu kama 2 au 3 zilizopelekea deep state imuondoe mzee wa chato !?
Hawezi kukujibu alijiandikia tu,

Doesn't make sense wabunge waondolewe bungeni uchaguzi ufanyike upya, katiba haisemi hivyo.
 
Halafu mkuu taarifa unayopata wewe kwenye media siku ya leo basi mara nyingi inakuwa mezani kwetu karibu wiki nzima kabla.

Mfano maamuzi ya leo wewe unaona yametolewa pale wakati anaongea live? Kama hivi ndivyo unafikiri basi, 'karibu upande wa pili'.
Nyie ndo mnampelekea taarifa Kigogo2014, au ndo ww Kigogo mwenyewe !!!
 
Kama wewe ni mwana usalama, basi hii nchi tuko uchi kila sehemu

Kama mnafanya tukio kubwa kama hili na mnakuja kujisifu mitandaoni, sishangai kigogo akijua kila kinachofanyika ikulu

kama hii nchi ina wana usalama wengi kama wewe, narudia kusema tuko uchi na na tumeweka roho na rasilimali zetu mikononi mwa wajinga sana.
 
Mimi nimeelewa labda wale wabunge wa chadema walioingia bila ridhaa ya chama chao maana kasema wabunge wasiokuwa halali.
Hao ni wabunge wa viti maalum, uchaguzi utafanyika vipi wakati Chadema inasema haiwatambui na hawatapeleka wabunge wa viti maalum bungeni??

Jamaa alijiandikia tu kwa utashi wake ila sio kwa kuwa anafahamu lolote.

Anadai tukio lolote wao wanakua na taarifa wiki moja kabla, huo ni uongo , atuambie basi kama alikua na taarifa za mauaji ya mtangazaji wa ITV wiki moja kabla.
 
Uchaguzi wa wabunge kurudiwa ni ndoto za mchana.Hakuna siku atakubali hilo lifanyike.
Jikite 2025 kwa sasa.
Yaani Kuna watu wanawaza kurudi bungeni kabla ya 2025? Hawa walifanya bunge Mali yao na hawataki kufuata katiba kwenye njaa zao.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom