Taarifa maalumu, 'operation' imesitishwa, nuru imeonekana na 'the State' wamesema apewe muda

Taarifa maalumu, 'operation' imesitishwa, nuru imeonekana na 'the State' wamesema apewe muda

Msitishe Madame President, Tanzania iko imara na Hayati John P. Magufuli alifariki kifo Cha kawaida na kila mtu anajua na sio ule utabiri wako feki.

Pengine sababu kuu ni ukaidi wake wa namna ya kupambana na COvid-19 na kisha akaji- expose kupita kiasi ili Hali alikuwa katika kundi hatarishi. Hili lilionekana dhahiri na hata lilionekana wazi linaweza muathiri kama ilivyotokea kwa Mkurunzinza.

You're nobody...wewe ni kama wasaliti wengine walioko kwenye serikali wenye access ya information muhimu ambao wanavujisha kabla hazijatangazwa.
Kwani si tulikubaliana ni ugonjwa wa moyo? Haya ya kovidii yamekujaje tena?
 
Kama wewe ni mwana usalama, basi hii nchi tuko uchi kila sehemu

Kama mnafanya tukio kubwa kama hili na mnakuja kujisifu mitandaoni, sishangai kigogo akijua kila kinachofanyika ikulu

kama hii nchi ina wana usalama wengi kama wewe, narudia kusema tuko uchi na na tumeweka roho na rasilimali zetu mikononi mwa wajinga sana.
Roho ziko mikononi mwa Mungu sema hawa wahuni wanazingua sana
 
Hakuna mtu aliyelifanya bunge mali yake isipokuwa yule aliyewaambia wakurugenzi hawezi kuwalipa mishahara na kuwapa magari halafu watangaze mpinzani ameshinda.
Yaani Kuna watu wanawaza kurudi bungeni kabla ya 2025? Hawa walifanya bunge Mali yao na hawataki kufuata katiba kwenye njaa zao.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Kama wewe ni mwana usalama, basi hii nchi tuko uchi kila sehemu

Kama mnafanya tukio kubwa kama hili na mnakuja kujisifu mitandaoni, sishangai kigogo akijua kila kinachofanyika ikulu

kama hii nchi ina wana usalama wengi kama wewe, narudia kusema tuko uchi na na tumeweka roho na rasilimali zetu mikononi mwa wajinga sana.
Vipi mumepanga kumteka kama wale wengine ambao mpk sasa Hatujui mumewapeleka wapi?? Acha mara moja utajuta.
 
Hao ni wabunge wa viti maalum, uchaguzi utafanyika vipi wakati Chadema inasema haiwatambui na hawatapeleka wabunge wa viti maalum bungeni??

Jamaa alijiandikia tu kwa utashi wake ila sio kwa kuwa anafahamu lolote.

Anadai tukio lolote wao wanakua na taarifa wiki moja kabla, huo ni uongo , atuambie basi kama alikua na taarifa za mauaji ya mtangazaji wa ITV wiki moja kabla.
Aliekuwa anawapa kiburi kaenda zake[emoji23] [emoji23]
 
Jambo unalopaswa kujua ni kwamba 'hatma' ipo kwenye ule ujumbe wa rais ambaye hajawahi kugombea ila fursa ya 'neema' inaachiliwa kufanya remedy.

Hakuna maono ambayo hayapo subject to changes. Ikiwa tu zile condition zilizopelekea maono zitabadilika basi maono pia yaweza kubadilika.

Madam president kaonesha tofauti na hapa anapatiwa nafasi ya kufanya namna inayobadilisha maono.

Asipofanya ile dhamira ya awali inakuwa na uhalali kuendelea.
Mkuu hiyo nafasi ya kujirekebisha kapewa na wakina Nan?
 
Hawezi kukujibu alijiandikia tu,

Doesn't make sense wabunge waondolewe bungeni uchaguzi ufanyike upya, katiba haisemi hivyo.
Wabunge wanaoongelewa hapa ni wale wa upinzani waliopo bungeni kinyume na matakwa ya chama chao.

Taarifa tulizonazo ni kuwa vijana wazalendo pale 'stpeters' wanayo ripoti inayoonesha kuwa katika majimbo 73 waliotangazwa sio walioshinda. Hapa tumeomba uchaguzi urudiwe.
 
Kama wewe ni mwana usalama, basi hii nchi tuko uchi kila sehemu

Kama mnafanya tukio kubwa kama hili na mnakuja kujisifu mitandaoni, sishangai kigogo akijua kila kinachofanyika ikulu

kama hii nchi ina wana usalama wengi kama wewe, narudia kusema tuko uchi na na tumeweka roho na rasilimali zetu mikononi mwa wajinga sana.
Mkuu 'theState' ina wajibu juu ya taifa tu. Haina 'feelings' towards or against any individual. We are only loyal to the nation.

Pia taasisi hii tangu kuasisiwa kwake haijihusishi na vitendo vya mauaji au kuleta maumivu kwa watu.
 
Mkuu 'theState' ina wajibu juu ya taifa tu. Haina 'feelings' towards or against any individual. We are only loyal to the nation.

Pia taasisi hii tangu kuasisiwa kwake haijihusishi na vitendo vya mauaji au kuleta maumivu kwa watu.
Neno taifa lina maana gani kwa uelewa wako?
 
Hao ni wabunge wa viti maalum, uchaguzi utafanyika vipi wakati Chadema inasema haiwatambui na hawatapeleka wabunge wa viti maalum bungeni??

Jamaa alijiandikia tu kwa utashi wake ila sio kwa kuwa anafahamu lolote.

Anadai tukio lolote wao wanakua na taarifa wiki moja kabla, huo ni uongo , atuambie basi kama alikua na taarifa za mauaji ya mtangazaji wa ITV wiki moja kabla.
Mimi nilidhan amemaanisha hao wabunge wa chadema sio halal maana wamefutwa uanachama hivyo watolewe bungen

Kwamba watajua matukio ya uhalifu? Hii labda Mungu pekee anaweza kujua. Ni kama alimaansha yale mambo ambayo yanakuwa yamepangwa na viongoz ili wayatekeleze.
 
Back
Top Bottom