Taarifa Muhimu kwa JF!.

Kuna jamaa mmoja ananiambia wazungu wana moyo sana wanakula mbuzi+ yani kama wanakula ndugu zao.
[emoji23][emoji23] kuna haja apelekwe kwa Trump au Kim. Ukutane na kijeba cha kibulgaria utasema kinguruwe kimevaa nguo[emoji23]
 
Aseee hivi mnapatikana Sayari ipii!???... mbona wengine hatukutani hata kwa bahati mbaya!..
Sayari hii hii ya dunia. Ukienda bar probability ya kuwapata ni ndogo
 
Kuna ile guiness sijui inaandikwaje ni chungu jamaniiiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi huwa naacha pombe kwa msimu, hasa nikitaka kupungua uzito, maana kama nakunywa siwezi kufanya mazoezi wala dayati.

Ila nikiacha kama miezi mitatu napungua kama kilo 5 - 7, then naanza tena.
Nilipokuwa mlevi nilikua najiona msafi zaidi ya sasa [emoji23] yani nilikua najipanga hasa wakati wa kwenda kwenye code!..
Labda kwa vile nilikua najua sitarudi mwenyewe nitakua na mgeni!..
Ila Pombe zilikua zinanikondesha sana mana nikitoka kunywa sili chochote zaidi ya wali halafu asubuhi sikuwahi kuwa na hangeover toka siku flani nilikunywa cocktail imemixiwa dry gin kibao nikaamka saa 11 jioni[emoji23].
 
Zamani hata Supu nilikua situmii!!..
au hadi leo situmii maziwa fresh!, mtindi uwe na sukari nyingii!!.. Sasa hiyo utumbo tabu tupu!..
Duuh mpaka supu. Ulikua unakosa raha za dunia bora ulivyoanza tumia.
Maziwa kweli wengine hawayapendi.

Utumbo wa nazi umewahi jaribu? [emoji39][emoji39][emoji39]
 

Mimi nakula sana wakati nakunywa, mishkaki, nyama, yaani ni fujo.

Kwa hiyo najikuta uzito unaongezeka balaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…