Tetesi: Taarifa ndani ya week hii na ijayo je itashangiliwa au itanuniwa?

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Kakaa Kimya si kwamba hana cha kusema Ila ameupima upepo

Naona kuna memo nyingi anapitia moja moja,

Nyingine anakuwa kaweka upande wa zilizosomwa na kuirejea wakati hajamalizana na zilizopo

Safu ya ushindi inapangwa wale wale wanarejea kukipa chama nguvu

Pili wale wasaidizi mshahara umeongezwa kimya kimya

2025 …..
 
Ndio mlichobakiza huko Ccm, kupeana tu ulaji Ila kujenga nchi mlishashindwa.
 
Nyoosha maelezo
 
DP Weldi hapana!
 
Siku hizi Huna lolote bora ukabashiri kwenye mpira wa miguu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…