Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TWO QSNS:
Can some body give me plausible reasons kwa nini Tanzania hatutaki kuruhusu majeshi ya USA (AFRICOM) kuweka base Tanzania? Apart from these normal songs of militarization of Africa continent ambazo tunazisikia kila siku. Mfano tukiyaruhusu, tutaathirika kivipi? na vice versa....
Swali lingine, hivi ugaidi tunaoushuhudia leo sehemu mbali mbali duniani eg Pakistan, Afghanistan, Iran etc, kama usingekuwa unatumia mwavuli wa dini ya kiislamu, ungefanikiwa?, I mean could they convince people like militants and fanatics to do what they do like blowing up buildings, themselves? Could they? WITHOUT USING THE NAME OF ISLAM? In otherwords kwa nini in most Islamic countries when people want to achieve their agendas, they tend to use the religion mask? Like when you kill infidels..you will be rewarded in heaven..? Kifupi hawa the so called maghaidi wanaweza kufanikisha agenda zao bila kutumia platform ya UISLAM?
Waungwana mi napenda kuuliza hivi na naomba Muislamu/Mkristu/Mpagani yeyote aliyemo humu jamvini anieleweshe. Kwa sababu nashindwa kuelewa kwa nini dini ya waumini millions and millions iwe LINKED na mambo mabaya? AS WE SEE EVERYDAY... na bado tunaambiwa ISLAM is the religion of Peace. I honestly find it puzzling for someone to kill another and justify his/her actions through the holy books. Perhaps we could get the answer kwa nini watu wanaandamana dhidi ya Bush kama adui wa Uislamu na Bush anatembeza bakora dhidi ya maghaidi... (ambao most of them they happen to be Islamist...)
What am I missing in this whole issue?
I will appreciate anybody`s response!
Mzee point. mi nashangaa wabongo njaa kibao, ufisadi kila kona , then mnapoteza muda kuandamana kumpinga Bush asije Bongo. Andamaneni kuhusu BoT , IPTL huduma duni za afya , shule nk. Jiangalieni kwanza umasikini wenu kabla ya kupambana na US President.Mkitaka kuona alivyo powerful angalieni maisha ya Dar kuanzia kesho hadi aondoke. Mimi nasema aje akipenda akae hata mwezi kama Jk alivyokaa kwake .Ebo
Nafikiri kufanya mambo ukiwa na positve thinking ni vizuri zaidi kuliko kuiga tu simply kwa sababu wengine hufanya hivyo. Mimi sioni kama ni sahihi waislam wa Tz kumchukia Bush. Ieleweke kuwa kama sera zake ni mbaya effect yake ina cut across us. Dini zote na pagans pia. Ukiniambia nitoe sababu moja tu kwa nini kikundi cha wislam kiandame kupinga ziara ya Bush kweli nitashindwa au niseme ni kwa sababu imekuwa ni fashion kila aendako vikundi huandamana? Siko Dar lakini najua saa hizi kuko tight .Sijui wamefunga barabara zipi au je mtandao wa simu upo jamani ?
![]()
Wachoma Bendera.
![]()
Waandamanaji
1. Kwanini Tunataka AFRICOM? kwa manufaa ya Nani? AFRICOM itakuja kutuchonganisha, na kama huamini subiri...before na after uhuru Tanganyika yetu hapakuwa na magomvi baina yetu...Sasa hivi Hatuna AFRICOM tuna loose nini? Tunaigopa Burundi? au Rwanda? Jesh letu limeshindwa?...AFRICOM inakuja kupambana na Majambazi?....
2. Kama mnajua kuwa Amerika kajitengenezea Maadui, unataka Maadui hao waje kupambana ktk ARDHI TUKUFU ya Tanzania? Amerika kwa muda wote wa historia amekuwa akitumia viwanja au Ardhi za Nchi nyingine kufanya vita...we dont like this to happen in our poor land.
3. Ndugu yangu Iran kuna ugaidi gani? au ndio nyimbo za Amerika?
4. Huko unaposema Iraq. Afghanstan, US kafuata nini huko? watu ndugu zao washauwawa na hawana Njia ya kujikomboa..njia nyepesi ni hio ya kujilipua...im not supporting kujilipua, kwa wenzetu hawana namna ya kupambana na ADUI yao. Hivi asiependa kuishi vizuri, ktk nyumba nzuri? Kila mtu anapenda kuishi hivyo, level ya dhulma ikifikia ktk peak, basi aliedhulumiwa anakuwa hana namna.
5. Masanja...Hivi wale wale wanawaua bibi wazee kule Shinyanga nao waislam? Burundi, Rwanda,Kongo, Kenya,waislam? mifano mingi.hoja zako hapo ni MFU..
inshort.
Afghanstna-Waislam wanapambana na Amerika na Makuadi wake wa EU
Iraq-------Waislam wanapamba na kuvamiwa nchi yao na majeshi ya wavamizi.
Pakistan-hakuna Vita, ila wananchi wamechoka na UFISADI na Undumila kuwili wa Viongozi. Kumbuka Pakistan ni wataalam wa Nyuklia na US na Makuadi wake EU wanafanya kila linawezekana kumuweka mtu atakaesaidia vita yao dhidi ya Ugaidi...Kule Pakisan hawaweki AFRICOM wanatumia njia ya divide na rule.
mifano tele..ukitaka specific uliza...
Masanja,
Mkuu nimekufahamisha Ukweli kuwa hawa sio waarabu na ndio.. kwa lugha ama kabila, sasa unafikiri ni kitu gani kinachowaunganisha?... Ni point safi kabisa haina kiungo zaidi kama tulivyoutumia weusi wetu ktk swala la Africa..Kiungo kilikuwa rangi yetu.
Sasa nikuulize wewe why only baadhi Wakristu wa Tanzania ndio wanaopinga?... Je, haihusiani na Udini wao. Yote haya unaweza sema ni full of blame game lakini sidhani kama unaweza kunipa jibu....
![]()
Need I say more?