YNIM
JF-Expert Member
- Aug 29, 2007
- 2,215
- 25
mhh,interesting, i respect sana maoni yako, ila mi sidhani ka nipo bias.kama unaamini kwenye mlengo flani wa siasa utaona mi nipo bias.sasa tukianza kuleta habari za kina george sr. na wolfwitz tutaenda mbali.kwa sababu unatafuta facts za ambazo huzifahamu.tubishane kwa facts sio vitu vinavyoelea angani.hivi wajua mission ya gulf war ilikua nini!! haikua regime change, ilikua kuitoa iraq kuwait, kama wangetaka regime change wasingeshindwa, kwa sababu by then states ilikua na more international support kuliko sasa.thats fact! kuhusu powell UN, all intel gathered by that time ilionesha kua saddam alikua na WMD's, hata MI6 waliamini hivyo.thats a fact!swali, kwanini WMD's hazikukutwa? kwa kukuhabarisha, kuna investigation inafanyika saivi ambayo inaangalia if the WMD's were moved to Syria before invasion.Lakini at the same time, nataka niwe fair, its very possible hakukua na WMD's, now, were did they get it wrong, kwanza it depends on ASSETS(foreign agents) ambao walikua wanaipa data marekani.yawezekana walikua wanawaambia wamarekani kile ambacho wamarekani walikua wanataka kukiskia kwa sababu these cooks are well paid na ntu anataka aendelee kuwa kwenye paycheck ya wamarekani,hizi mistakes zishatokea sana na ndo mana watu sasa wanabase zaidi kwenye technology, pili, kutokana na picha za satellites, inaonekana kabisa kulikua na programmes za WMD's zinaendelea, lakini, hii inaweza ilikua strategy ya saddam kuonesha wako militarly strong.kwa sababu for sure alikua anajua big brother was watching everything, therefore its very possible alikua anafanya bogus activities as if anatengeneza WMD's ili ku-create fear.hiyo imo kwenye ulimwengu wa vita.
saa hapo facts zipo wapi?? hamna cha kweli hata kimoja!!! umeongea kaa mtu yeyote pro war and pro israel atakavyosema!!! THEY KNEW FROM DAY ONE KWAMBA SADDAM HAKUWA NA WMD's!!! unasemaje kuhusu "yellow cakes" from Niger??
sema something that, I don't know!!!