Taarifa: Wanataka Kumhusisha Mbowe Na Kesi Hii Ya Agosti 19, 2020 Na "Mpango wa Kumdhuru Sabaya

Taarifa: Wanataka Kumhusisha Mbowe Na Kesi Hii Ya Agosti 19, 2020 Na "Mpango wa Kumdhuru Sabaya

Kwani hasa hili neno Gaidi lina maana gani.
Ndio neno litokanalo na hili Terror?
 
Kaeni mkijua watanzania hawana hata muda na hiyo chadema, hakuna mtanzania mwenye akili timamu atakayesumbuka na chama chenu
Ni sisi wapinzani wenyewe tutaweza kujitetea, kwa sasa ccm wamepoteza ushawishi kwa umma, hivyo wamejihika na vyombo vya dola ili kuendelea kututawala kwa shuruti. Namna pekee ni sisi wapinzani kugoma kushirikiana na wanaccm.

Hakina kushiriki msiba wala sherehe ama hafla yoyote ya mwanaccm, hakuna kununua chochote kwenye biashara ya mwanaccm ama hata kupakia vyombo vyao vya usafiri labda iwe lazima sana. Tusiogope kuhamashana kwenye hili. Kwa vyovyote mbinu hii itamgusa kila mtanzania. Kwenye nyumba za ibada hakuna kutoa sadaka, na kuwaambia viongozi wa dini wanakalia kimya uovu. Mbinu hii haitatuacha na vilema wala kubambikiwa kesi, kutekwa ama kuuwawa. Mbinu hii ilitumiwa Zanzibar na ilifanya kazi. Madai ya katiba mpya ni ya halali, kwani wezi wa kura wasio na ushawishi waendelee kututesa na kutimiza kwa madai yetu halali. Ni juu yetu wapinzani kujiokoa.
 
Kaeni mkijua watanzania hawana hata muda na hiyo chadema, hakuna mtanzania mwenye akili timamu atakayesumbuka na chama chenu
Ndio maana naomba tozo ziongezwe kabisa yani ukitoa elf 2 ukatwe elf 10.

Mafuta Lita iwe laki moja. Nauli ya daladala dar iwe 5000 kwa route moja

Ili chadema wakione cha moto kabisa
 
Mbowe alisema kuwa iwapo mahakama itamuachia Sabaya, basi yeye atamshughulikia kwa njia isiyojulikana. Sasa kwa bahati nzuri Sabaya amewahi kumshughulikia yeye, Mbowe anaanza kulalamikia kupitia misukule yake mbali mbali huku mitandaoni.
 
Ni sisi wapinzani wenyewe tutaweza kujitetea, kwa sasa ccm wamepoteza ushawishi kwa umma, hivyo wamejihika na vyombo vya dola ili kuendelea kututawala kwa shuruti. Namna pekee ni sisi wapinzani kugoma kushirikiana na wanaccm.

Hakina kushiriki msiba wala sherehe ama hafla yoyote ya mwanaccm, hakuna kununua chochote kwenye biashara ya mwanaccm ama hata kupakia vyombo vyao vya usafiri labda iwe lazima sana. Tusiogope kuhamashana kwenye hili. Kwa vyovyote mbinu hii itamgusa kila mtanzania. Kwenye nyumba za ibada hakuna kutoa sadaka, na kuwaambia viongozi wa dini wanakalia kimya uovu. Mbinu hii haitatuacha na vilema wala kubambikiwa kesi, kutekwa ama kuuwawa. Mbinu hii ilitumiwa Zanzibar na ilifanya kazi. Madai ya katiba mpya ni ya halali, kwani wezi wa kura wasio na ushawishi waendelee kututesa na kutimiza kwa madai yetu halali. Ni juu yetu wapinzani kujiokoa.
Maendeleo yote Tz yameletwa na ccm, kama hutak kushirikiana na ccm hameni nchi
 
Kuhusu suala la kutowawekea dhamana viongozi wa CHADEMA waliokamatwa na Jeshi la Polisi, hayo ni maamuzi ya chama, yenye baraka za Mwenyekiti mwenyewe kabla hata hajakamatwa, na yalitumika hukohuko mwanza kipindi Askofu Mwamakula, Twaha Mwaipaya na wanachadema wengine zaidi ya 20 waliokamatwa. Wote waligoma kuwekewa dhamana au kujiwekea dhamana. Wote waliokuwa mahabusu waliungana kulitaka jeshi la polisi kuwaachia bila masharti, Na hatimaye jeshi la polisi kweli liliwaachia bila masharti

Kuhusu Mbowe kuwekewa dhamana angeweza kuwekewa dhamana na Ndugu zake, lakini hata yeye anasimamia maamuzi ya chama ili kukomesha taibi hii ya polisi kukamata viongozi wa upinzani na kuwapotezea muda kupitia masharti ya dhamana
 
Serikali ama hakika inageuka kuwa "laughing stock" pale inapoacha kushughulikia mambo muhimu yanayoliunganisha taifa, badala yake inaanza kujikita zaidi katika mambo batili yasiyokuwa na umuhimu wowote ule yenye kutaka kumomonyoa umoja wa kitaifa.
 
Back
Top Bottom