Taarifa: Wanataka Kumhusisha Mbowe Na Kesi Hii Ya Agosti 19, 2020 Na "Mpango wa Kumdhuru Sabaya

Taarifa: Wanataka Kumhusisha Mbowe Na Kesi Hii Ya Agosti 19, 2020 Na "Mpango wa Kumdhuru Sabaya

Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana

Kwani huyu jamaa anayezungumza hapa ni nani ati?

Nimemskiliza mwanzo mwisho. Lakini kila dalili inaonesha kuwa naye ni miongoni mwa watu wa kitengo afanyaye "kazi maalumu" kujaribu ku - neutralize ishu ya CHADEMA na Mbowe...

Katika maelezo yake haya kwa mtu aliyemsikiliza kwa makini anaweza kugundua haya;

å Jamaa kaanza kutoa maelezo yake haya katika namna kama vile ana sympathize na wapenzi, mashabiki na wafuasi wa CHADEMA juu kukamatwa kwa m/kiti wa chama Taifa....

å Lakini mwishoni huko nia na lengo lake halisi likawa wazi hususani alipoanza kutoa ukosoaji wa taarifa ya makamu m/kiti wa CHADEMA Tundu Lissu juu ya kutoweka dhamana kwa viongozi wake wanaokamatwa na polisi na kuwaweka korokoroni bila makosa au kwa makosa ya kutunga/ya uongo...

Anasahau kabisa kuwa TL hakumaanisha kusimamia kesi. Kuweka mawakili au kujitetea mbele ya mahakama kama umefunguliwa mashtaka is not an option, bali hiyo ni lazima...

Lakini haya mambo ya kusumbuana ndani ya mahabusu za polisi, pasipo kufikishana mahakamani, hilo polisi wakae nalo wao...

Huyu jamaa ana kazi maalumu ya kutengeneza mazingira ya kupunguza mihemuko ya watu ktk ishu hii ya Freeman Mbowe ili CCM wafanye yao ikiwemo hata kuua kwa namna yoyote ile...

Hizi spinning ni maandalizi ya tukio moja in connection na hili kutokea. I can guess...

AIDHA

MOSI, lengo la serikali ya CCM kuifuta/ondelea usajili CHADEMA kwa sababu taarifa za ndani huko, chini ya carpet zinasema tayari Msajili wa vyama vya siasa ameshaagizwa aanzishe mchakato wa kuiondolea usajili CHADEMA kwa kutumia kigezo kuwa ni chama cha kigaidi...

AU

PILI, kama hili litakuwa gumu (na obviously siyo tu ni gumu bali haliwezekani kabisa!), basi wamwachie jamaa huru lakini atengenezewe mkakati mwingine wa kummaliza....!!

Is it possible? Let's wait and see. However, the optimism shows that, CHADEMA & Mbowe are obvious winner in this game...!

Lakini all in all kwa kuanzia, mpuuzeni huyu, hana lolote bali ni spinner mjinga na mpumbavu fulani tu maana yeye amedhani sisi ni wajinga kama alivyo mjinga yeye na wenzake huko...
 
Kwani hasa hili neno Gaidi lina maana gani.
Ndio neno litokanalo na hili Terror?

Ugaidi

Ugaidi ni mfumo wa kulenga mabadiliko ya kisiasa kwa kutisha watu kwa njia ya vurugu au mauaji. Matendo ya kigaidi yanatisha kwa sababu watu wanajeruhiwa au kuuawa. Watendaji wa ugaidi kwa kawaida ni vikundi au watu wasio na cheo au nafasi rasmi.
Mara nyingi si rahisi kutofautisha kati ya magaidi, wapinzani wa uhuru au watu wanaoendesha vita ya msituni. Hata jeshi rasmi za serikali zinaweza kutumia mbinu za kigaidi lakini kwa kawaida hawahesabiwi kati ya magaidi.​

 
Wanajichanganya tu

Waliompiga risasi Lissu jeshi la polisi halitaki kufanya uchunguzi, ila wana muda wa kuzushia watu kesi
Waliompiga risasi ni.mbowe na genge lake,
Pia lisu mwambie aje atoe maelezo pamoja na dereva wake?
Kwa nini wanajificha?
 
Kuwa Na maneno ya stara nyokololo zako, shagaake na Kigogo 14 we
Ungekuwa hujui kusoma usingeteseka, kiherehere chako cha kujua kusoma ndio kinakutesa sasa.
 
Kujua kinachoendelea unahitaji kuangalia picha halisi kwa marefu na mapana.

Ishu sio mbowe kupewa kesi ya ugaidi ishu ni watanzania kupumbazwa kuhusu Mbowe ili chanjo za corona na uhuru ambao mtanzania anapoteza kila siku zinavyoenda .
Pesa ya corona imeingia wenye pesa zao wanataka tufuate masharti ambayo 75% ya waTz wanaona ni ya kipuuzi sasa tunafanyaje?kwakuwa mbowe nae kapokea fungu lake basi M/kiti kakubali kuwa centre of attention kuwapumbaza watu.

Hapa ishu ni Agenda ya corona inavyopenyezwa kupitia Mbowe.

Samia hajawahi kuwa mtata wala Mbowe hajawahi kuwa na kashfa ya ugaidi ukiona kapewa tuhuma z ugaidi laZima ujue lengo ni nini na kujua hilo lazima uwe neutral ukiangalia nn kinaendelea kwa sasa
 
Back
Top Bottom