Turudishieni kodi zetu zilizojenga nchi hii, tugawane eneo mkae na makondoo wenzanu wa ccm, sisi tuanze kuijenga nchi yetu ya kisasa.Maendeleo yote Tz yameletwa na ccm, kama hutak kushirikiana na ccm hameni nchi
Na ni maatahira pekee wanaokishabikia "Chama Cha Mataahira" CCMKaeni mkijua watanzania hawana hata muda na hiyo chadema, hakuna mtanzania mwenye akili timamu atakayesumbuka na chama chenu
Lissu ni inside job, michezo ya CDM kuleta taharuki kwenye jamiiWanajichanganya tu
Waliompiga risasi Lissu jeshi la polisi halitaki kufanya uchunguzi, ila wana muda wa kuzushia watu kesi
Bado unashi kwa dadako eti ujenge nchiTurudishieni kodi zetu zilizojenga nchi hii, tugawane eneo mkae na makondoo wenzanu wa ccm, sisi tuanze kuijenga nchi yetu ya kisasa.
Ni sisi wapinzani wenyewe tutaweza kujitetea, kwa sasa ccm wamepoteza ushawishi kwa umma, hivyo wamejihika na vyombo vya dola ili kuendelea kututawala kwa shuruti. Namna pekee ni sisi wapinzani kugoma kushirikiana na wanaccm.
Hakina kushiriki msiba wala sherehe ama hafla yoyote ya mwanaccm, hakuna kununua chochote kwenye biashara ya mwanaccm ama hata kupakia vyombo vyao vya usafiri labda iwe lazima sana. Tusiogope kuhamashana kwenye hili. Kwa vyovyote mbinu hii itamgusa kila mtanzania. Kwenye nyumba za ibada hakuna kutoa sadaka, na kuwaambia viongozi wa dini wanakalia kimya uovu. Mbinu hii haitatuacha na vilema wala kubambikiwa kesi, kutekwa ama kuuwawa. Mbinu hii ilitumiwa Zanzibar na ilifanya kazi. Madai ya katiba mpya ni ya halali, kwani wezi wa kura wasio na ushawishi waendelee kututesa na kutimiza kwa madai yetu halali. Ni juu yetu wapinzani kujiokoa.
Turudishieni kodi zetu zilizojenga nchi hii, tugawane eneo mkae na makondoo wenzanu wa ccm, sisi tuanze kuijenga nchi yetu ya kisasa.
Bado unashi kwa dadako eti ujenge nchi
USSR
Hii simu yangu imeshonewa kwenye vidole vyangu.Mkuu inabidi uweke simu kando kwa muda,upumzike [emoji3][emoji3]
Sasa ndo mnadhalilishana kisa ccm na mbowe?Wangu yuko mbele ya haki, hivyo uooto wa mama yako ndio nahakikisha kiduku kinakaa vizuri kwa cutting ya kisasa.
Sasa ndo mnadhalilishana kisa ccm na mbowe?
Hatuna serikali bali kuna wahuni wako madarakaniMimi binafsi si appreciate Mbowe ila hiki serikali inachokifanya ni utoto uliopitiliza kiwango.
Eti Mbowe Gaidi, what a joke.
Asante kwa Taarifa Kaka Chahali. Hawa waharifu angalau kwa kuumbua ushetani wao wataogopa.Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana
hivyo vyombo vya dola kwanini vinakubali kutumika?CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala CCM hii haina tofauti na Bokoharam.
Maendeleo yote Tz yameletwa na ccm, kama hutak kushirikiana na ccm hameni nchi
sema ccmKaeni mkijua watanzania hawana hata muda na hiyo chadema, hakuna mtanzania mwenye akili timamu atakayesumbuka na chama chenu
Shukrani kwa kutumia kichwa kufikiri, at least wangekuja na picha tofautiMimi binafsi si appreciate Mbowe ila hiki serikali inachokifanya ni utoto uliopitiliza kiwango.
Eti Mbowe Gaidi, what a joke.
Wamemfanyia Mbowe kongamano bila ya wao kujua. Bora wangeliwaacha wakazungumza mambo ya Mwz na kuishia huko. Lakini leo hii imekuwa kongamano la taifa zima . Ahahahaaa [emoji23][emoji1787]Cdm hebu tulieni leo tuna tukio Kigoma, give us a break maana kila dakika Mbowe Mbowe! Mbowe mwenyewe shetani kabisa anachambana na marehemu!!