Taarifa: Wanataka Kumhusisha Mbowe Na Kesi Hii Ya Agosti 19, 2020 Na "Mpango wa Kumdhuru Sabaya

Cdm hebu tulieni leo tuna tukio Kigoma, give us a break maana kila dakika Mbowe Mbowe! Mbowe mwenyewe shetani kabisa anachambana na marehemu!!
Mbowe kisima cha maji marefu
 
Wamemfanyia Mbowe kongamano bila ya wao kujua. Bora wangeliwaacha wakazungumza mambo ya Mwz na kuishia huko. Lakini leo hii imekuwa kongamano la taifa zima . Ahahahaaa [emoji23][emoji1787]
Unajua huo ndo mwisho wa CCM,yalivyo majinga yanadhani yatatoboa,kumbe ndo yanaenda kufutika kabisa....
 
Hilo la kumuhisha kutaka kumuua Sabaya ni dogo, wamuhusishe na kifo cha dhalimu aliyeko motoni kabisa, lakini katiba mpya ni lazima na sio ombi.
Unalazimisha ukiwa umekaa sebuleni kwako mkuu,sio ukamanda huo.
 
Fanya hvo ufe njaa😂😂😂
 
Hilo la kumuhisha kutaka kumuua Sabaya ni dogo, wamuhusishe na kifo cha dhalimu aliyeko motoni kabisa, lakini katiba mpya ni lazima na sio ombi.

Kuwa Na maneno ya stara nyokololo zako, shagaake na Kigogo 14 we
 
Kaeni mkijua watanzania hawana hata muda na hiyo chadema, hakuna mtanzania mwenye akili timamu atakayesumbuka na chama chenu
Umechukua jukumu la kuwasemea waTanzania hapa; ambao kwa kukosa akili kwako unawahusisha na kutoijali Tanzania yao.

Kama huo siyo upumbavu tuuite ni kitu gani!
 
Umechukua jukumu la kuwasemea waTanzania hapa; ambao kwa kukosa akili kwako unawahusisha na kutoijali Tanzania yao.

Kama huo siyo upumbavu tuuite ni kitu gani!
Hahaa achana na hizi ID zinazolipw Jana kuna boya mmoja tumemuumbua. Udhani comment zake ni automated yaani kila baada ya dakika tano anakunya uharo
 
Nilishaachaga huo ujinha wa kutoa sadaka kitambo sana. Unatoa sadaka haiendi kwa Mungu maana hao wanaojiita viongozi wa Dini hawana Mungu.
 
Anaejua sifa za kujiunga na jeshi la police anitag pliz
 
Mimi binafsi si appreciate Mbowe ila hiki serikali inachokifanya ni utoto uliopitiliza kiwango.

Eti Mbowe Gaidi, what a joke.

Sio mara ya kwanza kwa Mbowe kuhusishwa na mauaji au mipango ya kutaka kuua. Alihusishwa na kifo cha Chacha Wangwe, alihusishwa na mipango ya kuwaua Zitto Kabwe na kadhalika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…