Zanzibar 2020 Taarifa ya ACT Wazalendo yasema watu watatu wamefariki kwa kupigwa risasi na Polisi huku tisa wakijeruhiwa Zanzibar

Kwa mujibu wa Maalim Seif, polisi walikuwa wanasambaza karatasi za kupigia kura katika vituo, wananchi walidai baadhi ya karatasi hizo zilikuwa zimeshatiliwa tiki kwa baaadhi ya wagombea
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
 
Maisha ya watu yanapotea unaleta ujinga! Bora hata kufuga mbuzi kuliko kuwa na watu wa aina yako
Kama utaki maisha ya watu yapotee kuwa wakwanza / balozi wa kuimiza hao watu watii sheria bila shurti mbona unakuwa mjinga mjinga mgumu kuelewa mambo yet kila kitu kipo wazi.
 
Kama utaki maisha ya watu yapotee kuwa wakwanza / balozi wa kuimiza hao watu watii sheria bila shurti mbona unakuwa mjinga mjinga mgumu kuelewa mambo yet kila kitu kipo wazi.
"Utaki" ndio nini? Hata level yako ya uandishi haina hadhi ya kubishana na wenye akili.
Umenikumbusha usemi "never argue with a fool, people might not notice the difference"
Ngoja nikuache!
 
Sheria ya Uchaguzi Zenji tumejitungia wenyewe, kazi ya Polisi ni kulinda tulichokubaliana kwenye vikao rasmi, kwa nini wazuiwe kutekeleza kazi yao.

Wakati wa kampeni viongozi wa ACT walisema Maalim na mapapa wenzake wataongoza harakati, vijana wetu wameamua kupambana kwa mawe na polisi wenye silaha ila Maalim yuko chumbani akiwasiliana na mabeberu.
 
Ina maana huko Zanzibar wapo VICHAA?.
hawajui kinachoendelea?.
Acha kujitoa ufahamu..
Kuna haja gani ya kusambaza masanduku ya kura usiku takiwa na kura ndani?
Kwani hii ni mara ya kwanza kwa vifaa kusafirisha usiku? Ikiwa vituo vinafufuliwa saa 1 asubuhi, unataka vitu yafikiswe muda gani? Kuna sehemu vifaa vimesafirishi wiki nzima nyuma. Na kabla ya uchaguzi haujaanza, masanduku hayakaguliwi mbele wasimamizi na wahusika?. Ndio maana nasema hii yote ni kutaka kuleta taharuki isiyo na tija.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…