Nzelu za bwino
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 400
- 484
Msaada namna ya kudownload mkuuMimi Naipata...
Download VPN
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msaada namna ya kudownload mkuuMimi Naipata...
Download VPN
Msaada namna ya kudownload mkuu.Download VPN uchanje bunga
Mtaji wa wanasiasa ni ujinga wa wafuasi wao. Huko Pemba hai waliojeruhiwa ukipata mmoja anajua kusoma na kuandika una bahati. Hai wanafanya kila wanachoambiwa na Maalim hata Kama hakina ukweli wowote. Jiulize Maalim alikuwa wapi akaona makaratasi yamewekewa kura Hadi akaenda kuwaambia wafuasi wayachukue kwa nguvu toka kwa polisi kwa kuwapiga na mawe?Ndo waweke masanduku ya kura feki!?
Ndio maana mnaonekana punguani. Unajibu bila kuchunguza, kisa mahaba kukujaa tuu.Acha ujinga wewe Sasa hao ambao hata kura hawapigi unawaingizaje barabarani watoto?
Maalim achukuliwe hatua kwa alichokifanya.
"Wananchi wamekuja kukagua masanduku ya kura usiku kama yana kura za wizi huku kiongozi wao akiwa chumbani amelala"... very madness
Ndio maana mnaonekana punguani. Unajibu bila kuchunguza, kisa mahaba kukujaa tuu.
View attachment 1613217
Sijawahi kuwaamini ACT wazalendo, kwani ni wa kukurupuka.Chama cha ACT Wazalendo kimetoa taarifa ya yanayoendelea Pemba, taarifa hiyo imeandaliwa na Maalim Seif na kutolewa kwa Umma
=======
Taarifa zilizothibitishwa kutoka Pemba zinasema wananchi watatu wameuawa kwa silaha za moto na Jeshi la Polisi kuelekea mwanzo wa upigaji kura siku ya kesho, wengine tisa wamejeruhiwa.
Usiku huu Jeshi limekuwa likigawa masanduku ya kupigia kura kwenye vituo kwa ajili ya upigaji kura wa awali. Wananchi wanaozunguka maeneo hayo wamedai kwamba masunduku hayo tayari yana kura zenye alama. Wananchi hao walizuia masunduku hayo kwenda kwenye vituo vya kupigia kura, polisi walianza kurusha mabumu ya machozi kwenye jaribio la kutawanya mkusanyiko. Baada ya kushindikana, wakatumia silaha za moto. Bahati mbaya, imepelekea vifo vya Wazanzibari watatu na tisa kujeruhiwa.
Waliofariki katika kijiji cha Kangani
Waliojeruhiwa kwa sialaha za moto
- Asha Haji Hassan(33)
- Yussuf Shaame Muhiddin(27)
- Kombo Hamad Salum(30)
Kulingana na vyanzo eneo hilo, imekuwa kuwachukua waliojeruhiwa kwenda hospitali kutoka Kangani kwa sababu barabara zote kuelekea Chake Chake, Vitongoji na Wete zinasimamiwa na vyombo vya usalama.
- Abbas Haji Nyange(27)
- Bakari Khamis Bakari(50)
- Mukhtar Yahya Hassan(16)
- Khamis Mohammed Mmanga(40)
- Hassan Kombo Ali(13)
- Abbas Mgau(22)
- Mgau Omar Mgau(35)
- Hamad Omar Hamad(20)
- Ali Hamad Seif(16)
View attachment 1613146
View attachment 1613147
Acha ujinga wewe Sasa hao ambao hata kura hawapigi unawaingizaje barabarani watoto?
Maalim achukuliwe hatua kwa alichokifanya.
Thanks mkuu. Nipo na VPN miaka yote mkuuMimi Naipata...
Download VPN
Hapana JF hawataipiga ban, maana JF kuna nyuzi hawaziruhusu tena na kuna comments wanazinyofoaDuh! Labda next ni JF.
Fala nini kwani yeye ndio Rais kwa sasa.Hivi Mwinyi utakuwa na amani gani kuingia madaraka huku ukiwa umeau na kumwaga damu.
Twita Mbona akna kigogo hawaonekani au n mm tuu siwaoni?Mimi Twitter fresh tuu.....Ila video zina load kwa shida
Hiyo ni zanzibar,kwanini usiseme maalim?Lissu aseme neno.
Mabeyo na Sirro ICC inawahusi 100%Kama hao wenye miaka 13 na 16 walikua hapo wanafanya nini Maalim Seif awaambie watu wake wakae nyumbani Maalimu Seif the hague itamuhusu.
amstedamuu.....HV kweli unazuia askari mwenye silaha. na mawe unategemea nn...mnashindwa sahau jeshi duniani kwote limepewa ruhusa kujilinda......Lissu aseme neno.
Mlipowapiga mawe Polisi wakakimbia mlikenua. Kenueni tenaHaingii kokote, kama wanampenda wampe udiwani kwao Mkuranga.
Wala usihof mkuu..we andamana Tena na mawe...Tundu Lissu atakuteteaUwo itii wa sheria usiishie kwa raia tuu ila hata kwa wewe mshika bunduki uzijue sheria zako
UNAUWAJE RAIA !!!