Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Mshana Jr Makiwendo Heaven Sent Vincenzo Jr hii ilinitokea 2012 aisee ilikuwa mbaya skull fracture, 10 days nipo off kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upande wa Engineering je? Nenda pale chuo cha usafitishaji (NIT) kunajengwa sijui ni mabweni yale ya ghorofa 4 au 5. Architect aliye design hayo majengo utadhani tuko karne 17 au 18 na siyo karne ya technology ya 21 ya akili mnemba (AI). Mabweni kama misikiti ya Timbuktu. Shame on him/ her.Hakika.
Vifo vingi siku hizi vinachangiwa na ukanjanja wa daktari wetu.
Sekta ya afya imevamia na waliokosa mwelekeo kama ilivyo upande wa ualimu.
Mungu akujalie afya njema na upone kwa haraka Ushimen 🙏
What a loss!!View attachment 3139744
Ndio ivyo yaan ajar za barabarani
Asante kaka, mpe pole sana nampigia pia.Simu anapokea dada na mchana huu nitakwenda huko
Dah ni maumivu sana Aise... Nakumbuka kuna jamaa mpaka leo hawezi kutembea wala kusimama..Hakika.
Vifo vingi siku hizi vinachangiwa na ukanjanja wa daktari wetu.
Sekta ya afya imevamia na waliokosa mwelekeo kama ilivyo upande wa ualimu.
Mungu akujalie afya njema na upone kwa haraka Ushimen 🙏
Afrika kumejaa matapeliDah ni maumivu sana Aise... Nakumbuka kuna jamaa mpaka leo hawezi kutembea wala kusimama..
Walimuambia Ana TB ya mapafu Kumbe wamepima vibaya, ikawa kila baada ya miezi sita akawa anapewa dawa za TB, baada ya mda zikamharibu mbavu na uti wa mgongo. 😕😕😕
Yani ni hovyo sana....Afrika kumejaa matapeli
Indeed ni huruma za BWANA kwamba hatuangamii. Aisee pole sana (japo ni kumbukumbu kwa sasa)Mshana Jr Makiwendo Heaven Sent Vincenzo Jr hii ilinitokea 2012 aisee ilikuwa mbaya skull fracture, 10 days nipo off kabisa
View attachment 3139751
Mungu wangu thanks God you are aliveMshana Jr Makiwendo Heaven Sent Vincenzo Jr hii ilinitokea 2012 aisee ilikuwa mbaya skull fracture, 10 days nipo off kabisa
View attachment 3139751
Yaani it took 1 year and 5 months kupata ile balansi maana ardhi ilikuwa inaegemea upande wa kulia na kupoteza fahamu sometimes. Ukuu wa Mungu ulidhihirikaIndeed ni huruma za BWANA kwamba hatuangamii. Aisee pole sana (japo ni kumbukumbu kwa sasa)
Ulikuwa ni muujiza huu mkuu, Nilipata ajali kisiwani tena usiku nikaokotwa nikapelekwa Mnazi mmoja hospital pale zanzibar nikafanyiwa ct scanning ni nikapandishwa ndege mpaka Muhimbili nikiwa nimepoteza fahamu baada ya siku 10 najikuta napata fahamu Muhimbili. Kuishi na watu vizuri ni silaha kubwa sanaMungu wangu thanks God you are alive